USA miaka ya nyuma niliwahi kunusurika kupigwa risasi na Polisi wa Chicago

USA miaka ya nyuma niliwahi kunusurika kupigwa risasi na Polisi wa Chicago

Mkuu mrudishie shemeji yako simu ukamsaidie dada yako kupika
 
Inatakiwa uzijue taratibu za kipolisi kwenye nchi yako ya ugenini.
Pana mbongo aliuwawa na polisi kwa kutokujua.
Alisimamishwa na polisi akasimama simu ikaita mfukoni akapeleka mkono mfukoni ili atoe simu apokee nafasi hio hakuipata alipigwa bastola pale akafa walidhani anatoa silaha.
Kule silaha nje nje hata kwenye majumba ya watu usiende hovyo hovyo hasa blacks sijui unabisha hodi kifo nje nje.
Ukiwa ndani ya gari ukisimamishwa inatakiwa utulie mikono iwe kwenye usukani au uitoe yote nje,hautakiwi kutoka nje ya gari unasubiria amri yao.
Sio huku bongo unashuka unamfata traffic.
 
Mnao kwenda ughaibuni nawapa muongozo usije kuwa marehemu huko. miaka 2004 katika utafutaji wangu wa kusafiri niliingia jiji chicago nikiwa maeneo ya northbrook.

Kutokana na umiliki silaha kuwa mkubwa basi polisi wengi kumuamini mtu yoyote ni ngumu yani polisi hakikusimamisha na kama wewe ndio ngozi ya coca cola bora unyooshe mikono juu ufate anavyo taka la sivo kifo ni kubeep.

Nilikuwa sielewi utaratibu wao baada ya kuhisiwa kilicho nitokea walipiga kale kasilaha ka shoti
Maelezo hayajitoshelezi
 
Mnao kwenda ughaibuni nawapa muongozo usije kuwa marehemu huko. miaka 2004 katika utafutaji wangu wa kusafiri niliingia jiji chicago nikiwa maeneo ya northbrook.

Kutokana na umiliki silaha kuwa mkubwa basi polisi wengi kumuamini mtu yoyote ni ngumu yani polisi hakikusimamisha na kama wewe ndio ngozi ya coca cola bora unyooshe mikono juu ufate anavyo taka la sivo kifo ni kubeep.

Nilikuwa sielewi utaratibu wao baada ya kuhisiwa kilicho nitokea walipiga kale kasilaha ka shoti
usa river
 
Ndoto yangu maishani (lifetime wish)nikupigwa shaba nakuonja ladha ya shaba.

I just want to feel the taste of lead and the room temperature challenge.

Lord help me my wish to be fulfilled maamaee!

miviga
Kazurure kivu,kua pirates somalia,nenda Gaza kutoa misaada au Kharkov.
Maombi yako lazima yatimie niamini mimi.
 
Pole sana mkuu. Nimesikitika mno lakni pamoja hayo yote Ukiwa huko ughaibuni tunza sana kinyeo chako. Ni Hilo tu Kwa leo
 
Pole sana mkuu. Nimesikitika mno lakni pamoja hayo yote Ukiwa huko ughaibuni tunza sana kinyeo chako. Ni Hilo tu Kwa leo
 
Back
Top Bottom