Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WE SI UNAISHI KWANGU HAPA HIZO SUPRA ULIZONAZO NIMEKU NUNULIA AU UMEANZA UJINGAMkuu mrudishie shemeji yako simu ukamsaidie dada yako kupika
Hahaha hahahaMtafute Maghayo akusimulie kilichomkuta.
Maelezo hayajitosheleziMnao kwenda ughaibuni nawapa muongozo usije kuwa marehemu huko. miaka 2004 katika utafutaji wangu wa kusafiri niliingia jiji chicago nikiwa maeneo ya northbrook.
Kutokana na umiliki silaha kuwa mkubwa basi polisi wengi kumuamini mtu yoyote ni ngumu yani polisi hakikusimamisha na kama wewe ndio ngozi ya coca cola bora unyooshe mikono juu ufate anavyo taka la sivo kifo ni kubeep.
Nilikuwa sielewi utaratibu wao baada ya kuhisiwa kilicho nitokea walipiga kale kasilaha ka shoti
usa riverMnao kwenda ughaibuni nawapa muongozo usije kuwa marehemu huko. miaka 2004 katika utafutaji wangu wa kusafiri niliingia jiji chicago nikiwa maeneo ya northbrook.
Kutokana na umiliki silaha kuwa mkubwa basi polisi wengi kumuamini mtu yoyote ni ngumu yani polisi hakikusimamisha na kama wewe ndio ngozi ya coca cola bora unyooshe mikono juu ufate anavyo taka la sivo kifo ni kubeep.
Nilikuwa sielewi utaratibu wao baada ya kuhisiwa kilicho nitokea walipiga kale kasilaha ka shoti
Kazurure kivu,kua pirates somalia,nenda Gaza kutoa misaada au Kharkov.Ndoto yangu maishani (lifetime wish)nikupigwa shaba nakuonja ladha ya shaba.
I just want to feel the taste of lead and the room temperature challenge.
Lord help me my wish to be fulfilled maamaee!
miviga
Sema Northbrook,Illinois sio Northbrook,Chicagoniliingia jiji chicago nikiwa maeneo ya northbrook.
kwani chamazi haipo darSema Northbrook,Illinois sio Northbrook,Chicago
Halafu hio mitaa mbona ipo peaceful sana sio kama Shatown south side
nilishapoa ni mda sasa tupo nyumbani tanza giza tukiwaona ccm wakidili na mikopoPole sana mkuu
sio zaidi ya kujikojolea kama una tumbo la kuharisha unatoa yoteNaskia kale kashoti ukipigwa unaweza kujikojolea,ni kweli mkuu?
unapenda sana kupumuliwa kisogoniPole sana mkuu. Nimesikitika mno lakni pamoja hayo yote Ukiwa huko ughaibuni tunza sana kinyeo chako. Ni Hilo tu Kwa leo