USA Migrant crisis: Kila mmoja anataka kwenda USA, je itawezekana?

USA Migrant crisis: Kila mmoja anataka kwenda USA, je itawezekana?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kuna migrant crisis USA particularly from Mexico. Kila mmoja anataka kwenda USA kukimbia ufukara hasa Africa, to some extent Asia and some few socialist countries from Russia block.

Je, kweli wote tutaenea USA?
 
Kila mtu anapapenda Marekani
 
US , utafanya kazi ambayo hapa bongo huwezi ikubali , utalipwa mshahara wa kukutosha kuishi, ukijibana sana unaweza sevu kidogo kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yako bongo (kama una wasimamizi waminifu) kutengeneza familia ni distant dream, hata ukiitengeneza, lazima utafeli sehemu fulani na kusambaratika.... utafanya kazi tofautitofauti za kawaida (ovyo) mpaka uzee ,utarudi bongo peke yako .... ukirudi hapa bongo utakuwa na nyumba na gari...ila mafuta na chakula ni mpambano mwingine

Mwishowe utakaa maskani na vijana daily kusimulia your life experiences za huko US .... while not sure what to do next day, ...vijicent vikikata unakuwa km mstaafu aliyeishiwa, tofauti ni kuwa wewe huna pension.
 
US , utafanya kazi ambayo hapa bongo huwezi ikubali , utalipwa mshahara wa kukutosha kuishi, ukijibana sana unaweza sevu kidogo kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yako bongo (kama una wasimamizi waminifu) kutengeneza familia ni distant dream, hata ukiitengeneza, lazima utafeli sehemu fulani na kusambaratika.... utafanya kazi tofautitofauti za kawaida (ovyo) mpaka uzee ,utarudi bongo peke yako .... ukirudi hapa bongo utakuwa na nyumba na gari...ila mafuta na chakula ni mpambano mwingine

Mwishowe utakaa maskani na vijana daily kusimulia your life experiences za huko US .... while not sure what to do next day, ...vijicent vikikata unakuwa km mstaafu aliyeishiwa, tofauti ni kuwa wewe huna pension.
Ukweli mchungu.
 
Kuna migrant crisis USA particularly from Mexico. Kila mmoja anataka kwenda USA kukimbia ufukara hasa Africa, to some extent Asia and some few socialist countries from Russia block.

Je, kweli wote tutaenea USA?
Mimi nitaenda Canada.
 
Naona umebase kweny some elements of negativity

Aisee ile ni USA a land of opportunities

Uwezi kucompare mfanyakazi anaefanya kazi unazoziita za ovyo na wafanyakazi wengi wa Tz.

And I one day I will be there.
US , utafanya kazi ambayo hapa bongo huwezi ikubali , utalipwa mshahara wa kukutosha kuishi, ukijibana sana unaweza sevu kidogo kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yako bongo (kama una wasimamizi waminifu) kutengeneza familia ni distant dream, hata ukiitengeneza, lazima utafeli sehemu fulani na kusambaratika.... utafanya kazi tofautitofauti za kawaida (ovyo) mpaka uzee ,utarudi bongo peke yako .... ukirudi hapa bongo utakuwa na nyumba na gari...ila mafuta na chakula ni mpambano mwingine

Mwishowe utakaa maskani na vijana daily kusimulia your life experiences za huko US .... while not sure what to do next day, ...vijicent vikikata unakuwa km mstaafu aliyeishiwa, tofauti ni kuwa wewe huna pension.
 
Naona umebase kweny some elements of negativity

Aisee ile ni USA a land of opportunities

Uwezi kucompare mfanyakazi anaefanya kazi unazoziita za ovyo na wafanyakazi wengi wa Tz.

And I one day I will be there.
Ulko sahihi! Kazi za hovyo zinavuta hela ambayo kwa bongo inafaa sana.Kuna jamaa mmoja anaendesha malori, anaweza kutuma milioni moja kila wiki nyumbani bila shida.
 
Back
Top Bottom