USA mswaada wa Sheria H. R. 6666 na Microsot chip 060606, Je? Ni mwanzo wa upimaji wa Corona kinguvu duniani?

USA mswaada wa Sheria H. R. 6666 na Microsot chip 060606, Je? Ni mwanzo wa upimaji wa Corona kinguvu duniani?

mimitungi

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2013
Posts
738
Reaction score
261
Malengo yake ni: To authorize the Secretary of Health and Human Services to award grants to eligible entities to conduct diagnostic testing for COVID–19, and related activities such as contact tracing, through mobile health units and, as necessary, at individuals’ residences, and for other purposes.
Source:
Text - H.R.6666 - 116th Congress (2019-2020): COVID-19 Testing, Reaching, And Contacting Everyone (TRACE) Act

Dr. R. Buttar ameelezea tunakoelekea hapa

Na ajabu ni Chip ya Microdoft ambayo inategemea kudungwa kwa binadamu ili kupata biological data za binadamu wote WO2020060606 CRYPTOCURRENCY SYSTEM USING BODY ACTIVITY DATA

Hii coincidence ya bill 6666 na Chip 060606 kama haijatulia. Na hii ya nyumba kwa nyumba je?
 
TRACE: Testing, Reaching And Contacting Everyone
Daaa....
 
Mje mtafisiri mtumegee japo dakika ya tatu mpk 5 nasi tufahamu.
Acheni uchoyo
 
Mimi ile video ya wabudu shetani kwenda kusali ikilu ndio iliniacha hoi..
Hakuna kitu kibaya kama kua sehemu ya unabii mbaya. Mliosoma Norse mythology mnafahamu Unabii uitwao Ragnarök.
Imagine yaliyotabiliwa kwenye Ufunuo wa yohana yanatokea kwetu 90s kids hatujainjoi hata maisha vizuri (hasa mimi)
Dogo unataka uinjoy maisha namna gani zaidi ya haya uyaonayo, uyafurahiayo na yakuhuzunishayo
? Biblia inasema yote ni ubatili mtupu, ni kujilisha upepo. Aliyesema hayo maneno alidhani duniani kuna kuinjoy na alitumia utajiri wake akitafuta kuinjoy, alioa wanawake mia saba na kuwa na mahawala kibao, alikula vinono vya kutosha lkn akagundua hakupata furaha aliyotarajia na badala yake huzuni iliongezeka.

Yote ni ubatili, hakuna furaha yoyote ya kweli kama hukubali kuridhika, utaishia kuwa mtumwa wa kila kitu duniani.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom