Ona Watoto wanavyohuawa huko Gaza na Jeshi la Israel eti wanashambulia Hamas.
Anayempa kiburi Israel ni Marekani anazidi kikumbatia kwa ujinga anaofanya lakini mbona Russia amewekewa vikwazo chungu nzima kutoka kwa Marekani na Washirika wake lakini Israel hata hawaongei chochote hakuna vikwazo alivyowekewa.
Hivyo Marekani ni mnafiki sana anafurahia kuona watu wanauwawa na jeshi la Israel. Angalia wanashambulia Hospital wanaua watoto ambao hawana hata hatia lakini Marekani Kwa unafiki wao wanendelea kuwakumbatia Waisrael, eti taifa teule.
Mwisho hakuna Amani inayopatikana Kwa vita
Anayempa kiburi Israel ni Marekani anazidi kikumbatia kwa ujinga anaofanya lakini mbona Russia amewekewa vikwazo chungu nzima kutoka kwa Marekani na Washirika wake lakini Israel hata hawaongei chochote hakuna vikwazo alivyowekewa.
Hivyo Marekani ni mnafiki sana anafurahia kuona watu wanauwawa na jeshi la Israel. Angalia wanashambulia Hospital wanaua watoto ambao hawana hata hatia lakini Marekani Kwa unafiki wao wanendelea kuwakumbatia Waisrael, eti taifa teule.
Mwisho hakuna Amani inayopatikana Kwa vita