USA Pesidential debate today: Kamala Harris (Democrats) vs Donald Trump (Republican): Hizi ndizo sheria na kanuni za mdahalo huu

USA Pesidential debate today: Kamala Harris (Democrats) vs Donald Trump (Republican): Hizi ndizo sheria na kanuni za mdahalo huu

Trump anaenda kumaliza kazi ,bibi cheko hatoboi
Hii thread imezidi kupigilia msumari uwezo mdogo wa kutafakari mambo kwa jamii kubwa ya Watanzania. Haya, mdahalo umefanyika, mbona hamleti mrejesho?

Nasikia kwa mbali, Trump hana hamu ya kukutana tena na bibi cheka, vipi imekuwaje? kina kirefu, je ni kweli Trump kamaliza kazi? Vipi bibi cheka, katoboa hakutoboa?

Naomba niwashauri Watanzania tujikite katika kujadili haya ya kwetu yaliyotushinda na tusirukia ya wengine yanayotuzidi kimo. Ya Yanga na Simba twaweza sana!
 
Hii thread imezidi kupigilia msumari uwezo mdogo wa kutafakari mambo kwa jamii kubwa ya Watanzania. Haya, mdahalo umefanyika, mbona hamleti mrejesho?

Nasikia kwa mbali, Trump hana hamu ya kukutana tena na bibi cheka, vipi imekuwaje? kina kirefu, je ni kweli Trump kamaliza kazi? Vipi bibi cheka, katoboa hakutoboa?

Naomba niwashauri Watanzania tujikite katika kujadili haya ya kwetu yaliyotushinda na tusirukia ya wengine yanayotuzidi kimo. Ya Yanga na Simba twaweza sana!
uchaguzi bado mkuu
 
Back
Top Bottom