Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
[emoji3][emoji3][emoji3] JF ni therapy tosha
Nchi yako unayoishobokea ina madeni wamewakopa wajapan na wachina matrillion ya dola...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3] JF ni therapy tosha
Cheo chake ni gani? Anataka vita vya nuclear anafikiria vita vya nuclear vitakuwa one sided? Russia pia wanasema wako na hypersonic weapons ambazo marekani haiwezi kugundua angani.Alisikika akisema Mkuu wa majeshi ya Marekani
Anasema Marekani ni Taifa kuliko watu wanavyodhani anasema huu ujumbe nadhani Urusi, Iran, IS na North Korea wanaangalia , Kama una akili timamu Amerika ni Nchi ya kuikimbia kwenye vita maana imeona vita, imecheza vita na unajua vita na haipendi vita.
Lakin ukipenda vita na Marekani andaa wa kulea watoto wako maana hutabaki salama! Vita siyo sehemu ya maonesho ya Bunduki kwa amerika bali ni vitendo.
View attachment 2200587
Mkuu umemfahamu lakini generali? kama ni vita wao hawapendi vita kama maonyesho anavyofanya yule kiduku na aila zake lakini ukilazimisha basi utafute mtu wakuja kukulelea wajukuu zako., huu ujumbe unafaa kutafakariwa sana kwa pro putin na aila zakeHahaha mikwara tena..
Mi nilidhani washapeleka jeshi Ukraine kumbe maneno ya kwenye khanga..
Mkuu taliban alifatwa Osama bin laden basi kazi iliishia hapo, otherwise marekani wameona kuendelea kubaki taliban ni kupoteza hela tu malengo yalishatimia wakaona wawaachie nchi yao na mapochopocho ya silaha kibao za kitaalamu wameachiwaAlichonifurahisha alipambana Afghanistan kwa miaka 20 kuwaondoa Taliban ili kuwaweka Taliban
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Mkuu nakutoa taka za masikio ukisikia US ni marekani na aila zake, nchi za Ulaya wote wako na Marekani usijaribu kudhania kwamba ni mmoja kwa mmoja tu, Marekani ukijarib tu dunia itafumuka kote kukulenga wewe ndio ujanja huwa wenzetu walioutumia marekani miaka na kakaKapigwa rafiki yake mchana kweupe na hajapeleka ngumi.
US hamwezi Urusi
Kwa marekani ndivyo ilivyo huu ujumbe hawa jamaa wanamaanisha, marekani hawana maonyesho ya silaha ni moja ya mbinu kubwa kumshinda vita adui, tuombe salama tu yasitokee hayoDuh hiyo huitwa psychological war fare unapigwa kwa maneno ushundwe moyoni kabla ya uwanjani vitani.
Usisahau wamekaa miaka 20 bila kuwamaliza Taliban(Twaliban). Mwisho wakaamua kukimbia.Mkuu taliban alifatwa Osama bin laden basi kazi iliishia hapo, otherwise marekani wameona kuendelea kubaki taliban ni kupoteza hela tu malengo yalishatimia wakaona wawaachie nchi yao na mapochopocho ya silaha kibao za kitaalamu wameachiwa
Hiyo inafanya kazi kwa Iraq,Libya n.k.Mkuu nakutoa taka za masikio ukisikia US ni marekani na aila zake, nchi za Ulaya wote wako na Marekani usijaribu kudhania kwamba ni mmoja kwa mmoja tu, Marekani ukijarib tu dunia itafumuka kote kukulenga wewe ndio ujanja huwa wenzetu walioutumia marekani miaka na kaka
Ana maonesho. Tena maonesho yake ni ya kishetani. Anatafuta taifa dhaifu halafu anaenda kuonesha silaha zake.Kwa marekani ndivyo ilivyo huu ujumbe hawa jamaa wanamaanisha, marekani hawana maonyesho ya silaha ni moja ya mbinu kubwa kumshinda vita adui, tuombe salama tu yasitokee hayo
Wiki ina siku saba. Leo siku ya nneKuna tukio litatokea kabla ya wiki kuisha ,nazionea huruma nchi za NATO za ulaya
Kwenye ishu hiyo,Marekani aliionea serekali ya Mullah Omar. Kwasababu;Hapana..
Mwanzoni alikuwa Afghanistan, mashambulizi yalipoanza akajichimbia kwenye mapango ya milima ya Tora Bora. Mabomu yaliporindima vikali huko milimani ndo akaponyoka akavuka kwenda Pakistan
Kwani aliyeiharibu nchi yao ni nani?na waliposhindwa , washindi Taliban walienda kuomba fedha za kuendesha nchi huko kwa waliowashinda , je ww umempiga mtu unaeza kwenda kwake kuomba msaada wa fedha za kuendesha nchi
Na siku akilogwa apambane peke yake ndio utakuwa mwisho wake. Yule akiwa peke yake JWT wanawamudu kabisa[emoji28]US hawezi kupigana peke yake hata siku moja lazima afanye ushirikiano na majeshi ya nchi zingine, huwezi kuifananisha Urusi kijeshi na nchi inayojigamba kwa kupigana huku ikitegemea kushirikiana na majeshi ya nchi zingine
HahhaWiki ina siku saba. Leo siku ya nne
Leo siku ya saba [emoji3][emoji3]Wiki ina siku saba. Leo siku ya nne
Ni maneno ya kwenye khanga.Hahaha mikwara tena..
Mi nilidhani washapeleka jeshi Ukraine kumbe maneno ya kwenye khanga..