USA tells Russia : If you are wise America is a phenomena to avoid in war, if you want war with USA prepare someone to raise your Children

Siku 22 tu Baghdad ishatekwa na utawala wa Saddam ushaangushwa, Ukraine imeshasaidiwa na viongozi wa juu wa UK na US wamefika kyiv na kuahidi kumsaidia Zelensky.
Vipi kuhusu viitenam walitumia muda gani?
 
Vijana wanakurupuka tu humu, Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili, lakini leo hii akiingia vitani hata na China atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo,
atika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona...
Mimi Mwalimu lwaitama. Mjamaa
 
Naliona zuzu la ukraine lipo katikati ....sasa hivi marekani yupo zuzu wa tz anazindua muvi...wazungu wamepata mazuzu 2 kwa sasa.
 
Hahahahah vita zote haijafikia WWII ebhana Hitler alikuwa genius alipiga France na akapiga Urusi,akapiga Italy na nchi nyingi tu ni noma sana kidogo atawale dunia kama Rome and Greeks
 
Naliona zuzu la ukraine lipo katikati ....sasa hivi marekani yupo zuzu wa tz anazindua muvi...wazungu wamepata mazuzu 2 kwa sasa.
Acha kufananisha zuzu la ukrain na vitu vya kijinga
 
Nadhani unaendana na ule muda aliotumia Russia kwa mujahideen pale Afghanistan.
Nadhani ungejibu swali maana Vietnam alipata kipigo cha mbwa koko mpaka akakimbia.
Somalia ndio hata pasahau milele maana alichakazwa na wahuni wavuta bangi mpaka akatelekeza maiti za askari wake.
 
Kunya ni Kunya haijalishi unakunya nje au ndani ishu ni unakunya.... Hiv unaona kabisa mtu anatoa msaada ili upigwe alafu unapindi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wakat
Nadhani ungejibu swali maana Vietnam alipata kipigo cha mbwa koko mpaka akakimbia.
Somalia ndio hata pasahau milele maana alichakazwa na wahuni wavuta bangi mpaka akatelekeza maiti za askari wake.
Wakati wanapata kipigo ulikuwepo au story za kwenye kahawa....
 
Nadhani ungejibu swali maana Vietnam alipata kipigo cha mbwa koko mpaka akakimbia.
Somalia ndio hata pasahau milele maana alichakazwa na wahuni wavuta bangi mpaka akatelekeza maiti za askari wake.
Kama alivyocharazwa Russia pale kyiv Hadi akakimbilia mipakani? Au labda kama alivyocharazwa Russia kule Afghanistan hadi vodka wakiita voda. Au tuseme kama vile waarabu walivyotandikwa na muisrael ndani ya siku sita tu.
 
Wakat

Wakati wanapata kipigo ulikuwepo au story za kwenye kahawa....
Hizo ni story wanazojifarijigi nazo wavaa pedo, wanajisahaulisha kuwa Marekani katoka Vietnam kwa kukaa mezani ukasainiwa mkataba, na Marekani alienda kule kusaidia upande wa Vietnam kusini wala sio yeye alikuwa mwenye vita.
 
Kinachowapa jeur americans ni pesa... Anaweza pigana vita miaka 10 na bao uchumi wake ukasimama.. sasa wew unaepigana nae utaweza simama..?
Bajet ya jeshi la marekan kwa mwaka ni 800bil$ wakat rusia ni 90bil$ kwa mwaka
Dunia ikiachana na petro dollar basi uchumi wake haotosimama ata kama vita haijaanza
 
Hahaa Wamarekani bhana,,
Wamesahu walichofanywa na Gerneral Mohamed Farah Aidid wa Somalia 1993 kwenye the battle of Mogadishu? Hiyo ngoma iliitwa ' The black hawk down' Walitafutana.
 

Attachments

  • images.jpg
    11.2 KB · Views: 9
Kwa hiyo Marekani alichemka kuipiga Afghanistan wakat Osama alikuwa Pakistan?


Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Hapana..
Mwanzoni alikuwa Afghanistan, mashambulizi yalipoanza akajichimbia kwenye mapango ya milima ya Tora Bora. Mabomu yaliporindima vikali huko milimani ndo akaponyoka akavuka kwenda Pakistan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…