Kida ze great
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 242
- 288
Na wao wa print pesa basi tuone kama ni rahisi kama unavyo fikiriSasa kama pesa anaprint mwenyewe hawezi shindwa na kitu..
Ilikuwa dunia zima ikafanya kslosa la kumwacha USA kucontrol dunia hivi.
Urusi Yuko peke yakekwan urusi yuko peke yake?
Hawezi multiple fronts , usimpe kichwa au atapasua msamba, hata misaada kwa Ukraine unamtoa jasho.Russia can't manage to fight in multiple front lines. They have a limited resources.
Balshar Assad regime has collapsed due to its ally (Russia) failure to step in and help.
Russia is engaged fully with Ukrainian war.
The case is different with USA. The giant superpower can control Taiwan, back Ukraine, defend far east allies like Japan, south Korea, Philippines.
At the same time support ISRAEL
USA atabaki USA
Mkuu unajua bajeti ya mambo ya ulinzi ya Marekani ni kiasi gani na nchi inayoifuatia ni kiasi gani?View attachment 3172283
Tanzania haipo top 6, uongo huu. Si tulitangaziwa jeshi letu ni la6 kwa ubora duniani? Unawezaje kuwa bora bila bajeti nono?Mkuu unajua bajeti ya mambo ya ulinzi ya Marekani ni kiasi gani na nchi inayoifuatia ni kiasi gani?View attachment 3172283
Komenti imekaa kikobazi kobazi. Poleni sana shehe wangu.Makala ya kijinga sana hii.
Urusi ndio iliyomuokoa na kumlinda Assad Kwa Miaka zaidi ya kumi wakati wa vita ya kwanza ya allepo na waasi.
Huyo USA hakufanya chochote.leo hii kavizia Urusi ana vita Ukraine ambayo Ukraine inasaidiwa na all collective west ndio hao USA wako wakapata upenyo wa kwenda kumtoa Assad.miaka yote zaidi ya kumi walikua wapi?
Mie hua najiuliza kama USA ni wababe mbona walikimbizwa na Watalaban?
Mbona Zimbabwe ame print hela zake yeye mwenyewe lakini uchumi wake bado tu haujaweza kulingana na sisi?Sasa kama pesa anaprint mwenyewe hawezi shindwa na kitu..
Ilikuwa dunia zima ikafanya kslosa la kumwacha USA kucontrol dunia hivi.
Mkuu,Tanzania haipo top 6, uongo huu. Si tulitangaziwa jeshi letu ni la6 kwa ubora duniani? Unawezaje kuwa bora bila bajeti nono?
Kunywa uji tulia,haya mambo sio level yako.Umekuja kuropoka tena.
Hiyo USA inamsapoti Ukraine ikiungana na NATO nzima Yani zaidi ya nchi 30+.
Huyo Israel anasaidiwa na USA,UK,France na Germany.
USA hakuna sehemu anayoweza kusimama peke yake.
Wale Wanajeshi Wakiduku wanafanya nini Russia?Urusi Yuko peke yake
Kama Urusi nae ni mbabe kwanini asimlinde mshirika wake hadi apinduliwe? Hapo unapata jibu kuwa Putin kahenyeshwa na Ukraine yani hapumuiMakala ya kijinga sana hii.
Urusi ndio iliyomuokoa na kumlinda Assad Kwa Miaka zaidi ya kumi wakati wa vita ya kwanza ya allepo na waasi.
Huyo USA hakufanya chochote.leo hii kavizia Urusi ana vita Ukraine ambayo Ukraine inasaidiwa na all collective west ndio hao USA wako wakapata upenyo wa kwenda kumtoa Assad.miaka yote zaidi ya kumi walikua wapi?
Mie hua najiuliza kama USA ni wababe mbona walikimbizwa na Watalaban?
Mbona hao taleban pia walimfurusha UrusiHawezi multiple fronts , usimpe kichwa au atapasua msamba, hata misaada kwa Ukraine unamtoa jasho.
Dawa yao ni wa Vietnam na Taleban.
Punguza hisia ,nenda kwenye factsUlitaka asiwe na marafiki wanaomsupport wenye mlengo mmoja yan udini wako unataka kutuaminisha kuna nchi hapa dunian inaweza pgana na marekan full scale war na ikashnda au ndo utanambia tuvita twa afganstan sjui iraq ambako marekan alishatmiza matakwa yake au hujui kwmb urusi aliwahi furushwa na wataliban huko afghanstan je kwa hlo tu wataliban wanaweza mpga mrusi eti ksa mrusi aliwahi vamia hapo na akatemeshwa khs kusaidiwa kwan urusi naye si ana mahawala zake china na korea kz na iran wapo wanamsaidia sa kwan inamaana kwmb urusi hawez pgana mwnyw ksa support ya marafk zake punguza udini kwny fact. Nb: hao wote ni wazungu na hawawapend watu weusi pia waarabu nao ni kama hao hawawapend watu weusi dini hz ni zao wala hawana hbr nazo ila tulioletewa ndo shobo na kuwashobokea
Kama kawaida yako huwa hunaga hoja.Kunywa uji tulia,haya mambo sio level yako.
Wewe nilishakwambia usiendeshe mijadala na mimi maana huna ulijualo.Sheikh kuna mengine unadanganya sana sheikh wangu. Unayatoa wapi?
Nguvu ya geopolitics ya Zimbabwe unaweza ifananisha na ya USA!?Mbona Zimbabwe ame print hela zake yeye mwenyewe lakini uchumi wake bado tu haujaweza kulingana na sisi?
Wala usifikirie hilo la anguko kwa US....hizo zote zinazoleta chokochoko duniani kwanza ndo zipo kwenye mipango ya mudamfupi ya maendeleoRussia ni bora iwepo kwa namna ilivyo. Angejichanganya kwenye mtego wa Syria angepoteza vyote!
No empire lasts forever! Us will definitely fall one day!