USA will remain USA

USA will remain USA

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Russia can't manage to fight in multiple front lines. They have a limited resources.

Balshar Assad regime has collapsed due to its ally (Russia) failure to step in and help.

Russia is engaged fully with Ukrainian war.

The case is different with USA. The giant superpower can control Taiwan, back Ukraine, defend far east allies like Japan, south Korea, Philippines.

At the same time support ISRAEL

USA atabaki USA
 
Russia can't manage to fight in multiple front lines. They have a limited resources.

Balshar Assad regime has collapsed due to its ally (Russia) failure to step in and help.

Russia is engaged fully with Ukrainian war.

The case is different with USA. The giant superpower can control Taiwan, back Ukraine, defend far east allies like Japan, south Korea, Philippines.

At the same time support ISRAEL

USA atabaki USA
Mkuu unajua bajeti ya mambo ya ulinzi ya Marekani ni kiasi gani na nchi inayoifuatia ni kiasi gani?
The_Biggest_Jump_in_Military_Spending_Shareable.jpg
 
Russia can't manage to fight in multiple front lines. They have a limited resources.

Balshar Assad regime has collapsed due to its ally (Russia) failure to step in and help.

Russia is engaged fully with Ukrainian war.

The case is different with USA. The giant superpower can control Taiwan, back Ukraine, defend far east allies like Japan, south Korea, Philippines.

At the same time support ISRAEL

USA atabaki USA
Umekuja kuropoka tena.
Hiyo USA inamsapoti Ukraine ikiungana na NATO nzima Yani zaidi ya nchi 30+.
Huyo Israel anasaidiwa na USA,UK,France na Germany.
USA hakuna sehemu anayoweza kusimama peke yake.
 
Umekuja kuropoka tena.
Hiyo USA inamsapoti Ukraine ikiungana na NATO nzima Yani zaidi ya nchi 30+.
Huyo Israel anasaidiwa na USA,UK,France na Germany.
USA hakuna sehemu anayoweza kusimama peke yake.
Ulitaka asiwe na marafiki wanaomsupport wenye mlengo mmoja yan udini wako unataka kutuaminisha kuna nchi hapa dunian inaweza pgana na marekan full scale war na ikashnda au ndo utanambia tuvita twa afganstan sjui iraq ambako marekan alishatmiza matakwa yake au hujui kwmb urusi aliwahi furushwa na wataliban huko afghanstan je kwa hlo tu wataliban wanaweza mpga mrusi eti ksa mrusi aliwahi vamia hapo na akatemeshwa khs kusaidiwa kwan urusi naye si ana mahawala zake china na korea kz na iran wapo wanamsaidia sa kwan inamaana kwmb urusi hawez pgana mwnyw ksa support ya marafk zake punguza udini kwny fact. Nb: hao wote ni wazungu na hawawapend watu weusi pia waarabu nao ni kama hao hawawapend watu weusi dini hz ni zao wala hawana hbr nazo ila tulioletewa ndo shobo na kuwashobokea
 
Ulitaka asiwe na marafiki wanaomsupport wenye mlengo mmoja yan udini wako unataka kutuaminisha kuna nchi hapa dunian inaweza pgana na marekan full scale war na ikashnda au ndo utanambia tuvita twa afganstan sjui iraq ambako marekan alishatmiza matakwa yake au hujui kwmb urusi aliwahi furushwa na wataliban huko afghanstan je kwa hlo tu wataliban wanaweza mpga mrusi eti ksa mrusi aliwahi vamia hapo na akatemeshwa khs kusaidiwa kwan urusi naye si ana mahawala zake china na korea kz na iran wapo wanamsaidia sa kwan inamaana kwmb urusi hawez pgana mwnyw ksa support ya marafk zake punguza udini kwny fact. Nb: hao wote ni wazungu na hawawapend watu weusi pia waarabu nao ni kama hao hawawapend watu weusi dini hz ni zao wala hawana hbr nazo ila tulioletewa ndo shobo na kuwashobokea
Hizi ni mada zinazungumzwa pasi na mlengo wa kidini wala kikabila wala kiasili.
Sasa mbona unaropoka kimlengo wa kundi fulani!?
Urusi unajua ilikua inapigana na makundi mangapi kipindi inazidiwa na Taliban!?
Nenda kafuatilie.
 
Russia can't manage to fight in multiple front lines. They have a limited resources.

Balshar Assad regime has collapsed due to its ally (Russia) failure to step in and help.

Russia is engaged fully with Ukrainian war.

The case is different with USA. The giant superpower can control Taiwan, back Ukraine, defend far east allies like Japan, south Korea, Philippines.

At the same time support ISRAEL

USA atabaki USA

Umekuwa msemaji wa Russia?
 
We Jamaa bhana
Achana naye huyo kobaz hayanaga akili yanasahau urusi na china hawataki skia takataka iitwayo uislam hata ukiwauliza ni zp sababu za msingi za kuichukia marekan na ulaya hawana wanasahau lile jiwe jeusi pale saudia linalindwa na majesh ya marekan wana kambi kubwa kbs pale saudi arabia bila marekan hakuna kuhiji saudi arabia patachafuka shia na suni
 
Hizi ni mada zinazungumzwa pasi na mlengo wa kidini wala kikabila wala kiasili.
Sasa mbona unaropoka kimlengo wa kundi fulani!?
Urusi unajua ilikua inapigana na makundi mangapi kipindi inazidiwa na Taliban!?
Nenda kafuatilie.
Makundi mangapi yapi uslete uwongo wako hapa urusi alifurushwa na wataliban waliokuwa supported na marekani kataa sasa bt iyo haimaanish urusi hawawez hao wataliban nadhan ni zle busara tu kwmb hakuna cha maana hata kama wangewashnda wataliban so wakaamua kusepa ni sawa na huu ushabk wa humu kwmb hamas sjui hezbola wanawapga israel in full scale war ni ndoto za kupuuzwa kbs
 
Russia can't manage to fight in multiple front lines. They have a limited resources.

Balshar Assad regime has collapsed due to its ally (Russia) failure to step in and help.

Russia is engaged fully with Ukrainian war.

The case is different with USA. The giant superpower can control Taiwan, back Ukraine, defend far east allies like Japan, south Korea, Philippines.

At the same time support ISRAEL

USA atabaki USA
Sasa kama pesa anaprint mwenyewe hawezi shindwa na kitu..
Ilikuwa dunia zima ikafanya kslosa la kumwacha USA kucontrol dunia hivi.
 
Sasa kama pesa anaprint mwenyewe hawezi shindwa na kitu..
Ilikuwa dunia zima ikafanya kslosa la kumwacha USA kucontrol dunia hivi.
Ni nini knawazui hao wapnzan wake kuprint hzo pesa kwmb hawana tech ya kutengeneza pesa au kngne hv we jamaa una akili timamu kweli hvi ww unaamini marekan wenzie walimuacha tu hivi hivi acontrol kila ktu ila si kwmb aliwazd na anawazd kwa kila ktu inawezekanaje urusi au china eti waliamua tu kumuacha marekan aweze kucontrol kila ktu unaweza ukatwambia hp kwmb walimuachia tu au siyo ajabu humu makelele kibao ukpewa ofa ya kwenda kuish marekan au china au urusi au huko kwa waarabu mbio nina uhakika utaenda marekan bt humu mdomo mrefu nyooo
 
Makundi mangapi yapi uslete uwongo wako hapa urusi alifurushwa na wataliban waliokuwa supported na marekani kataa sasa bt iyo haimaanish urusi hawawez hao wataliban nadhan ni zle busara tu kwmb hakuna cha maana hata kama wangewashnda wataliban so wakaamua kusepa ni sawa na huu ushabk wa humu kwmb hamas sjui hezbola wanawapga israel in full scale war ni ndoto za kupuuzwa kbs
Ukiambiwa nenda kasome nenda kasome uache ubishi ilhali hujui.
Vita ya USSR na Afghani USSR Kwanza ilikua katika kipindi cha anguko la taratibu.
Pili Mujahideen walisaidiwa kisilaha na kijeshi na USA pia UK walitoa usaidizi wa jeshi la anga kwa Mujaheddin.
Hapo ni sawa na yale yale ya Ukraine Russia inachangiwa.
Kama Urusi angekua anapigana na Taliban peke yao ambao hawasaidiwi na UK wala USA basi hao Taliban wasingetoboa.

Ukija kesi ya Hizbollah usijitoe ufahamu.
Usisahau kuwa Israel inasaidiwa kisilaha na kiintelijensia na USA,UK na France dhidi ya kundi la washika silaha.
Tena Oktoba 7 ilipotokea Oktoba 8 tu hizo nchi tajwa zilipeleka Masada wa kijeshi haraka sana Israel.
Hamas ambao wana wanamgambo elfu 28 wameweza kupambana na kuwatia ulemavu askari elfu Sabini wa jeshi la Israel.
Utasema Israel ina jeshi pale?
Jiulize Kama USA asingepeleka Masada ingekuaje.

Unakalia ubishi hakuna unachojua.
 
Ukiambiwa nenda kasome nenda kasome uache ubishi ilhali hujui.
Vita ya USSR na Afghani USSR Kwanza ilikua katika kipindi cha anguko la taratibu.
Pili Mujahideen walisaidiwa kisilaha na kijeshi na USA pia UK walitoa usaidizi wa jeshi la anga kwa Mujaheddin.
Hapo ni sawa na yale yale ya Ukraine Russia inachangiwa.
Kama Urusi angekua anapigana na Taliban peke yao ambao hawasaidiwi na UK wala USA basi hao Taliban wasingetoboa.

Ukija kesi ya Hizbollah usijitoe ufahamu.
Usisahau kuwa Israel inasaidiwa kisilaha na kiintelijensia na USA,UK na France dhidi ya kundi la washika silaha.
Tena Oktoba 7 ilipotokea Oktoba 8 tu hizo nchi tajwa zilipeleka Masada wa kijeshi haraka sana Israel.
Hamas ambao wana wanamgambo elfu 28 wameweza kupambana na kuwatia ulemavu askari elfu Sabini wa jeshi la Israel.
Utasema Israel ina jeshi pale?
Jiulize Kama USA asingepeleka Masada ingekuaje.

Unakalia ubishi hakuna unachojua.
Umeandka pumba pumba na shda kubwa dini ya mwarabu imewamaliza akili si huwa mnadanganyanaga humu kwmb iran anaweza mpga israel na urusi anamuweza marekan bs ni nn knawazuia kuifuta israel pale si urusi na shoga ake iran wangempga pin marekan asisaidie israel ili atandkwe vzr na hao akna hezbolah au kuna nn kutwa nzma humu jukwaan mnadai iran anauwezo wa kumpga marekan na israel halafu israel akpambana ooh anasaidiwa na marekan kwann iran asiwadhibiti hao marekan maana mnasema anamudu. Kuhusu hzo pumba za urusi kufurushwa na taliban umeshahamisha magoli kwmb ooh urusi walikuwa kwny anguko kwaiyo ksngzio ndo hcho vp wkt huu na ukraine putin wkt anapeleka jeshi ukraine alisema yeyote atakayemsaidia ukraine atapgika vby sn ajabu ulaya na marekan wanasaidia ukraine hadharan kbs na urusi hajathubutu kurusha hata guluneti kwny mataifa ya ulaya sa hapo napo ksngzio ni nn mkuu?
 
kwan urusi yuko peke yake?
Mkuu achana naye huyo udini umemfunga akili waislam wa afrika wanapenda kuskia urusi au china kaingamiza marekani ndo dua zao hata ukiwauliza sababu za maana za kuichukia marekan au israel na ulaya hawana ukiwauliza je hao urusi na china ni mataifa ya kiislam jbu n hapana je hao warusi na wachina kweli wanaupenda uislam na waarabu jbu ni hapana ila ni maslahi tu si dini ukiwauliza wakpewa fursa kwenda kuisha uarabuni au urusi au china au marekan jbu watachagua marekan bt hapa wako huko misktini wanajazan sumu kuichukia marekan mara waseme wakristo ni mashoga je ukristo unasupport ushoga jbu n hpn je wazungu baadhi yao kusupport ushoga bs ndo dini ya ukristo imesupport jbu n hapana na je uarabuni hakuna mashoga jbu ni wapo kama wote sasa je tuseme waislam ni mashoga ksa mahawara zao waarabu baadhi yao ni machoko
 
Makala ya kijinga sana hii.
Urusi ndio iliyomuokoa na kumlinda Assad Kwa Miaka zaidi ya kumi wakati wa vita ya kwanza ya allepo na waasi.
Huyo USA hakufanya chochote.leo hii kavizia Urusi ana vita Ukraine ambayo Ukraine inasaidiwa na all collective west ndio hao USA wako wakapata upenyo wa kwenda kumtoa Assad.miaka yote zaidi ya kumi walikua wapi?
Mie hua najiuliza kama USA ni wababe mbona walikimbizwa na Watalaban?
 
Back
Top Bottom