pharao
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 397
- 690
Af wewe unatafutwa na iccUkimtoa Rais wa Zanzibar na yule Captain wa Bokinafaso hawa wengine ni hasara tupu kwa Africa wapo kuchuma na kula anasa kwa pesa za wananchi wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Af wewe unatafutwa na iccUkimtoa Rais wa Zanzibar na yule Captain wa Bokinafaso hawa wengine ni hasara tupu kwa Africa wapo kuchuma na kula anasa kwa pesa za wananchi wao.
😂😂Af wewe unatafutwa na icc
Tumia Akili Acha ujingaSerikali ya Marekani yasema haijaidhinisha safari ya Anasa ya Rais Rutto nchini humo
Msemaji wa Marekani mh Andrew amesema " kwa kweli Marekani haijalipia ndege ya kukodi ya Rutto kwenda Marekani "
Source Mwananchi
My take; Kumbe Ziara za Marais wetu huwa zinagharamiwa na nchi Wenyeji Chadema mpunguze uzushi [emoji23][emoji23]
Umeshapanic kiwepesi sana 😀Tumia Akili Acha ujinga
Wa Zanzibar ni kama Makonda... shughuli zao nyingi wanazifanyia kwenye maeneo Yao ya Kazi... safari zao nyingi ni either waende Dom, Dar au Arusha...nje ya nchi labda itokee tuu manake ile ni Kaz ya Mama.Ukimtoa Rais wa Zanzibar na yule Captain wa Bokinafaso hawa wengine ni hasara tupu kwa Africa wapo kuchuma na kula anasa kwa pesa za wananchi wao.
HahahahahaAf wewe unatafutwa na icc
ZambiaWa Zanzibar ni kama Makonda... shughuli zao nyingi wanazifanyia kwenye maeneo Yao ya Kazi... safari zao nyingi ni either waende Dom, Dar au Arusha...nje ya nchi labda itokee tuu manake ile ni Kaz ya Mama.
?hivi maraisi wa afrika kwa nini wakifa USA wanaenda kukutana na wasanii wa kule tofauti na wenzetu wakija hapa wanakutana na watu wakubwa na sio wasanii
uje uolewe na chadema utulie, kila sekunde chadema, chadema, chadema, chadema, chademaMy take; Kumbe Ziara za Marais wetu huwa zinagharamiwa na nchi Wenyeji Chadema mpunguze uzushi 😂😂
Kama wewe ulivyotulizwa 😂uje uolewe na chadema utulie, kila sekunde chadema, chadema, chadema, chadema, chadema
hapana, mimi ni mpenzi wa chadema as long as iko kwenye right truck ya kuitoa tanganyika utumwani. Wewe sasa chadema mbona inakuhenyesha sana hapa JFKama wewe ulivyotulizwa 😂
My bad.. nilidhani ZanzibarZambia
Ulisema wa ZanzibarZambia