USA yatoa onyo kwa Rwanda, yasema itakabiliwa na vikwazo isipokomesha Vita. Yamtaka Kagame kuondoa Majeshi yake Goma/Mashariki ya DRC

Congo ni likubwa jinga ndo maana lina ogopa kuvamia Rwanda huo ndo utakua mwisho wao maana Rwanda ataingia full Forces kitu ambacho kubwa jinga haliwezi battle nao ,
 
Ajabu unaweza kukuta alietoa tamko ndie mfadhiri
Ukiona hivyo ujue DRC Govt washakubaliana na masharti ya bwana mkubwa US .. mfano kuwapa exclusivity kampuni za US kwenye machimbo ya Colbat.. nimesema mfano sina uhakika .. maana

yaani rwanda aanambiwa haya rudi nyumban naye anasema sawa mkuu

Hivi inawezekanaje umoja wa Afrika tushindwe kulimaliza hili kwa kumwekea vikwazo rwanda had US aje atoe amri
 
Kama nk kweli hawa mabeberu wanamaanisha basi baada ya siku chache tutasikia M23 imeamua kuondoka Goma kwa hiyari Ili kupisha mazungumzo ya amani.
 
kuna chama kinataka kutugawa hapa nchini kwa kuingozaingiza maneno kwa wananchi wajifunze vita si nzuri amani ilindwe kwa gharama yoyote,nampongeza mweshimiwa mama yetu kipenzi kwa kuisimamia amani ya taifa letu..maendeleo yanaletwa pakiwa na amani
 
Ni Rwanda ndio inasitisha au Marekani ndio waache kupandiki. Vita? Mbona wanajificha?
 
kuna chama kinataka kutugawa hapa nchini kwa kuingozaingiza maneno kwa wananchi wajifunze vita si nzuri amani ilindwe kwa gharama yoyote,nampongeza mweshimiwa mama yetu kipenzi kwa kuisimamia amani ya taifa letu..maendeleo yanaletwa pakiwa na amani
Chama ndio kilipiga mapanga na risasi Wajumbe na mawakala uchagizi wa kitaa mwaka jana?
 
Hivyo vita vimejaa siasa na porojo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…