Usafi wa kinywa: Meno na Ulimi

Usafi wa kinywa: Meno na Ulimi

Mkuu na wewe domo linanuka?
tufundishe basi,mbona umekuj tu na maelezo ya awali kama unauza bidhaa za wachina wenye mabasi mkuu, mwaga vitu basi!

Mkuu hili tatizo limekuwa kubwa tupe elimu basi.

Mkuu hili tatizo limekuwa kubwa kwa watanzania wengi tunashukuru kumbe tatizo ni kutosafisha kwa dakika tano.

Tupe solution umetoa kasoro bila ya kutoa the way out!
Pigia mstari masagwa
 
Last edited by a moderator:
sugua kwa colgate na mswaki ambao brash zake ngumu kiasi na sio laaini sana ukiikosa kabisa tumia whitedent ,fanya mara mbili kwa kutwa......asub na kabla ya kwenda kulala for at least 2min......na pia unaweza fanya kwa pale unapohisi mdomo mchafu/mzito....in case umekula dagaa or tembele.
 
Matusi sa ya nini , kesho nitakutukana sana we sigma! I promise!
Asante kwa tahadhari.
Sitakupa iyo nafasi.
yani nitakuwa mwema kesho kwenye posti zangu...... Statoa nafasi ya mtu kufikiria chochote kibaya dhidi yangu
Kwanza sitaingia jukwaa la siasa kesho, bcoz kule utajikuta tu uko upande flani.
Na kwa taarifa yako CHUAKACHARA lazima utagonga like kwenye posti zangu... tupinge?
Maandalizi mema ya matusi CHUAKACHARA
 
Last edited by a moderator:
Kuna moja ninaye ofisini nashindwa jinsi ya kumueleza kwakweli.
Kama ofisini hamko wawili, yani sio wewe na yeye tu,...
mko wengi..
Nunua toothpaste na mswaki (classic) weka kwenye meza yake au pochi yake bila ya mtu yeyote kukuona.
Basi ujumbe utakuwa umefika
 
Mkuu hili tatizo limekuwa kubwa kwa watanzania wengi tunashukuru kumbe tatizo ni kutosafisha kwa dakika tano.
Minutes doesn't matter really
It's what you do in the process
Watu wanasahaugi kuwa harufu mbaya ya mdomo kwa kiasi kikubwa unatokana na kutosafisha ulimi.
Dont only dwell on the teeth, ulimi kwa juu kwenye rough surface unaweka uchafu mwingi na ukioza harufu hukwepi
 
sasa nini kifanyike kukaribiana na hiyo harufu ya kinywa?
kama harufu ya kinywa haiishi licha ya kuwa kinywa ni kisafi....
meno, ulimi, hard palate(rarely the cause of harufu coz iko slippery)
Basi the most likely cause inaweza kuwa tumboni.
Hapo wataalamu wana kaugonjwa kanaitwa Gastroesophageal reflux disease (contents za tumbo zinarudi kwenye esophagus(kimezeo=sijui kiswahili chake), na kuachia gesi inatoka nje
Gesi yenye harufu inatoka tumboni kupitia kinywani and when you talk tobaaaaaaaaaa, balaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!
 
Otherwise harufu inaweza tokana na ugonjwa kwenye kinywa...
oral thrush---common kwa wenye ngoma
infection ya fizi au ulimi au chochote ndani ya kinywa . inaweza kusababishwa na bacteria au fangas
 
CHUAKACHARAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
zee la mitusi njo ugonge like!
 
kama harufu ya kinywa haiishi licha ya kuwa kinywa ni kisafi....
meno, ulimi, hard palate(rarely the cause of harufu coz iko slippery)
Basi the most likely cause inaweza kuwa tumboni.
Hapo wataalamu wana kaugonjwa kanaitwa Gastroesophageal reflux disease (contents za tumbo zinarudi kwenye esophagus(kimezeo=sijui kiswahili chake), na kuachia gesi inatoka nje
Gesi yenye harufu inatoka tumboni kupitia kinywani and when you talk tobaaaaaaaaaa, balaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!

Na je ni nini tiba yake?
 
Asante kwa tahadhari.
Sitakupa iyo nafasi.
yani nitakuwa mwema kesho kwenye posti zangu...... Statoa nafasi ya mtu kufikiria chochote kibaya dhidi yangu
Kwanza sitaingia jukwaa la siasa kesho, bcoz kule utajikuta tu uko upande flani.
Na kwa taarifa yako CHUAKACHARA lazima utagonga like kwenye posti zangu... tupinge?
Maandalizi mema ya matusi CHUAKACHARA

Roho Mtakatifu amenikataza. kanitokea kwenye ndoto. Nimeacha. Kazi njema!
 
Habari zenu wadau, wengi wetu tumekua tukitumia mswaki mmoja mda mrefu kwa ajili ya mazoea tuliyojiwekea! Kwa wenye ufahamu wa vinywa naomba kufahamu yafuatayo:

-Je kuna mda maalum wa kikomo kutumia mswaki? ama unatakiwa kuutumia mpaka brashi za kusugulia zinapolala ndipo unabadilisha?

-Madukani kuna miswaki ya aina mbili , yenye brashi ngumu na yenye brashi laini , hapo ni aina gani inafaa kwa matumizi ya kusafisha meno bila kuleta matatizo?
 
Habari zenu wadau, wengi wetu tumekua tukitumia mswaki mmoja mda mrefu kwa ajili ya mazoea tuliyojiwekea! Kwa wenye ufahamu wa vinywa naomba kufahamu yafuatayo:

-Je kuna mda maalum wa kikomo kutumia mswaki? ama unatakiwa kuutumia mpaka brashi za kusugulia zinapolala ndipo unabadilisha?

-Madukani kuna miswaki ya aina mbili , yenye brashi ngumu na yenye brashi laini , hapo ni aina gani inafaa kwa matumizi ya kusafisha meno bila kuleta matatizo?
ni miezi mitatu tu isee.
 
Back
Top Bottom