Usafi wa kucha na urembo huongeza ladha ya mapenzi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kuna wengi hawajui umuhimu wa kucha kwenye mapenzi hasa kipindi cha kuamsha popo! Hivyo basi huziachia tu na uchafu wake au na marangi ya ajabu ajabu.

Kucha zinaleta msisimko na hamu hasa zinapokuwa safi ndefu kiasi na zilizotengenezwa vizuri ,lakini zisiwe zile za bandia,

Kwa wanaojua kuzitumia vizuri huwapagawisha mno wenza wao hivyo basi ni budi kuzitunza na kuziweka vizuri muda wote ila angalia unazotumiaje usije mkwaruza au kumuumiza mwenza wako mnapopagawa.

Kucha zinahitaji usafi wa kila siku na kila wakati kucha chafu zinatia kichefuchefu na kuondoa kabisa hamu
 
ukiona chafu ndo umsafishe

ujue mi nawashindwa kuelewa watu,unapoona kitu cha mwenzangu hakijakaa sawa masaidie kufanya huwezi jua ana nini mpaka kashindwa kujiweka sawa..
Tupendane na tusaidiana kusaidiana kwingine ndo huko saaasaaa
 
ukiona chafu ndo umsafishe

ujue mi nawashindwa kuelewa watu,unapoona kitu cha mwenzangu hakijakaa sawa masaidie kufanya huwezi jua ana nini mpaka kashindwa kujiweka sawa..
Tupendane na tusaidiana kusaidiana kwingine ndo huko saaasaaa

vaislay wengine uchafu ni jadi yao
 
Picha tafadhali ndo nitaelewa na nitaweza kuchangia. Pls
 
Mimi binafsi sipendi mwanamke mwenye mikucha mireeefu..sijui huwa anajiswafi vipi!
 

kucha izo
 

Attachments

  • Photo1006.jpg
    15.6 KB · Views: 323
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…