Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dk 2 nilimaanisha kuogaWewe huoni dakika mbili kweli unapiga mswaki au unalowesha mdomo
mzee sipewi tuzo huko,Eeee weww unajimwagia maji yaani unalowa maji tu uogi bhna una tofauti na kuku aogi mpaka mvua imnyeshe kweli
Punyeto haina madharaIla kama ni kweli usemavyo kuwa huwa unapita nyeto kias hicho...aisee,utajutia
VizuriPunyeto haina madhara
Ndo hivyo mkuuVizuri
Sawa mkuuNdo hivyo mkuu
So far hakuna utafiti wowote uliothibitisha kuwa punyeto ina madhara
hahahaha mie mkono wa kazi ni wa kushoto, na ushaanza toa kigimbi kwa mbaali
Mswaki dakika 5 unakorofishana na nani mdomoni?mie mswaki dakika 5 zinantosha
kuoga mara mbili kwa siku nikienda job
but home day lazma nkoge hata mara 3 japo usiku nisipokoga usingizi hauji hata kwa valium
upi ?Acha uchafu bhna
Embu ise hapa wengine hawajui