appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
kwa maana hiyo ni kwamba endapo nitakubali ina maana kuwa kwenye gari nitakuwa peke Yang au na abiria wengine???
unapenda u boss yaani kama unaendeshwa watakukomaje mtaani unaletwa na kurudishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa maana hiyo ni kwamba endapo nitakubali ina maana kuwa kwenye gari nitakuwa peke Yang au na abiria wengine???
Umelazimishwa kufanyia wahindi kazi sea clif? kukaa ukae chanika. Raha gani ya kazi hapo.kila siku unaamka saa 10 alfajili! Sasa unataka uwasumbue wenzio wanaotaka kuwekeza, huo ni wivu uchwara tuache sisi tunaoamka asb kuwahi kariakoo kununua bidhaa za magengeni mwetu tujaze nafasi kwenye Noah, wee ng'ang'ana na waajiri wako
Hujafanya vema... Don't put yourself first....!!
Imebadilishwa jina, siku hizi inaitwa BOLTWadau hii huduma bado ipo?