Usafiri kwendaTurkana kaskazini mwa Kenya umeathirika baada ya daraja kuvunjika

Usafiri kwendaTurkana kaskazini mwa Kenya umeathirika baada ya daraja kuvunjika

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
index.jpeg

Usafiri kwenda Turkana Kaskazini mwa Kenya umeathirika baada ya daraja kuvunjika eneo la Kainuk kutokana na mvua kubwa, linasema shirika la msalaba mwekundu nchini humo.
 
Hawana wizara ya ujenzi kwani mpaka msalaba mwekundu ndo waseme. Wapambane na hali hao, huo ni msimu wa mvua wa kufukua uozo wa ujenzi mbovu.
 
Pole yao,mvua zikizidi sana lazima kunakuwa na mambo kama haya..
 
Vipi hili lililokata usafiri wote wa kutoka Dar kwenda mikoani, mlilifanyia kazi kabla kukimbilia la Turkana, Kenya.

bunju+4.jpg
 
Tukiweka list ya substandard structures Kenya vs Tanzania msikimbie!
 
Mna structures gani nyinyi...Hahahaha.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom