Tetesi: Usafiri mwendokasi leo ni bure kabisa

Baba wa Mapaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
1,827
Reaction score
1,655
Wanajamvi
Mke wangu yuko kariakoo Gerezani hapa anasema leo mwendokasi watu wanapanda bure


Yajayo yanafurahisha
 
hapo sasa watanzania tunavyopenda vya bure ngoja niende kituoni nichukue mwendokasi hadi kivukoni without primary because{bila sababu za msingi}
 
Emb nipe namba ya mama wa mapaka nimuulize
 
DAH, OP atakuwa amejuta kututaarifu JF. Hahaha!
 
Unaibiwa .. Ghafla nmejikuta naukumbuka huu wimbo sijui kwa nini ?!
 
hapo sasa watanzania tunavyopenda vya bure ngoja niende kituoni nichukue mwendokasi hadi kivukoni without primary because{bila sababu za msingi}
Mkuu ulisoma eng course,? na kama ulisoma na kingereza chenyewe ndo hv je usingesema,
 
Mkeo akifika home mkague vizuri isije ikawa dereva wa mwendo kasi kakumegea mkuu! Ni mtazamo tu
 
Wewe ushaibiwa. Kapewa mihela kibao sasa kujitetea anasema usafiri bure. Supu kanywa bure na baadhi ya vitu wahindi wamempa bure. Huyo kijana anaefanya Tigo jirani yako muangalie sana. Sio mtu mwema kwako
 
Mtoa mada utajuuta kujitia kimbelembele kuleta habari bila kuipangilia maneno gani utumie

Haya sasa mkeo kasema leo ni bureeeee kwa wote wanaosafiri
 
hapo sasa watanzania tunavyopenda vya bure ngoja niende kituoni nichukue mwendokasi hadi kivukoni without primary because{bila sababu za msingi}
Hapana sio hivyo we TADPOLE a.k.a NDUBWI, inatakiwe iwe hivi....bila sababu ya msingi(without reason of primary)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…