Tetesi: Usafiri mwendokasi leo ni bure kabisa

Tetesi: Usafiri mwendokasi leo ni bure kabisa

Mtoa mada utajuuta kujitia kimbelembele kuleta habari bila kuipangilia maneno gani utumie

Haya sasa mkeo kasema leo ni bureeeee kwa wote wanaosafiri
Haki ya nani JF siyo ya kujifanya kiherehere eti uonekane una mawasiliano mazuri na mkeo ona sasa jamaa wanavyomsasambua!! Mara mwingine aseme "mke kachapwa na dereva", mara mwingine "nimemlipia mimi mkuu usihofu"
 
Mleta mada unayoambiwa humu umeyataka!!!
 
Inaonekana wewe na mkeo mnapenda sana mteremko/vya bure ita wa cost jirekebisheni
 
Huyu mwanamke amemegwa Kama ilivyomegwa yanga na kakamega home Boyz!
 
Lete namba ya mkeo niwe nampa lift kila siku. Anapenda bure sana,
 
Taarifa ni kwamba, makeshia wamegoma. Wachache wamefungua vituo leo hivyo kuna wafanyakazi wanachukua tiketi vituo vilivyofunguliwa na kuleta ambako hakujafunguliwa yaani mashine hazijafungilowa na wanaouza ni wale wa magetini sio makeshia. Makeshia inasemekana wamelipwa mara ya mwisho mwezi wa tatu.
Leo nimepewa tiketi iliyoprintiwa msimbazi ila nimeuziwa kimara na getini haisomi inaandika wrong date nikaambiwa nipite geti la pembeni. Kuna harufu pia ya wizi. Kesho jumatatu sipati picha.
Huu mradi kisena anataka kuuua sasa.
 
Wewe ushaibiwa. Kapewa mihela kibao sasa kujitetea anasema usafiri bure. Supu kanywa bure na baadhi ya vitu wahindi wamempa bure. Huyo kijana anaefanya Tigo jirani yako muangalie sana. Sio mtu mwema kwako
Maskini hili kampuni la simu bora wangetafuta jina jingine tu!
 
Ni kweli kabisa,leo mida ya saa nane mchana nimepanda bure,nimefika kwa mhudumu wa tiketi kaniambia ingia tu,mtandao hakuna.
 
Mkewako ana akili kupita wewe....[emoji12] [emoji12]
 
Hapana sio hivyo we TADPOLE a.k.a NDUBWI, inatakiwe iwe hivi....bila sababu ya msingi(without reason of primary)
Ni kama Sizonje anavyowatambia na kuwatisha wapinzani kwa kiingereza. Dont follow follow me without because. You cant me am another
 
Wanajamvi
Mke wangu yuko kariakoo Gerezani hapa anasema leo mwendokasi watu wanapanda bure


Yajayo yanafurahisha

Wewe furahia kwa kusema Kwake kuwa ni bure kumbe tayari Dereva ameshafanya yake ya ' Kibaiolojia ' zamani sana. Apande bure Basi la Babaake hilo? Wanaume wengine sijui mpoje yaani mnatengenezwa / mnadanganywa na Wake zenu mchana Kweupe mnakimbilia Mitandaoni kuwasifia.

Chezea Madereva wa Mwendokasi Weye!
 
Muda mfupi uliopita nimetoka mbagala, kufika gerezani naambiwa ingia tu leo ni bure... ila sio bure kwa kupenda ila ni kwamba tiketi zimeisha.
 
Back
Top Bottom