wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Wee sema hivyo ukute umekodishiwa uber anakudanganyaWanajamvi
Mke wangu yuko kariakoo Gerezani hapa anasema leo mwendokasi watu wanapanda bure
Yajayo yanafurahisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee sema hivyo ukute umekodishiwa uber anakudanganyaWanajamvi
Mke wangu yuko kariakoo Gerezani hapa anasema leo mwendokasi watu wanapanda bure
Yajayo yanafurahisha
Haki ya nani JF siyo ya kujifanya kiherehere eti uonekane una mawasiliano mazuri na mkeo ona sasa jamaa wanavyomsasambua!! Mara mwingine aseme "mke kachapwa na dereva", mara mwingine "nimemlipia mimi mkuu usihofu"Mtoa mada utajuuta kujitia kimbelembele kuleta habari bila kuipangilia maneno gani utumie
Haya sasa mkeo kasema leo ni bureeeee kwa wote wanaosafiri
Mchunguze mkeo leo. Uenda kuna kitu kibaya kakifanya alipotoka sasa anatafuta topiki ya kuingilia homeWanajamvi
Mke wangu yuko kariakoo Gerezani hapa anasema leo mwendokasi watu wanapanda bure
Yajayo yanafurahisha
Dere amekula papuchi ya mshikaji, alafu alivyo zuzu anakuja anajisifia!Bure kisa nini labda?
Maskini hili kampuni la simu bora wangetafuta jina jingine tu!Wewe ushaibiwa. Kapewa mihela kibao sasa kujitetea anasema usafiri bure. Supu kanywa bure na baadhi ya vitu wahindi wamempa bure. Huyo kijana anaefanya Tigo jirani yako muangalie sana. Sio mtu mwema kwako
Wanasingizia mtandao, ni makeshia wamegoma.Ni kweli kabisa,leo mida ya saa nane mchana nimepanda bure,nimefika kwa mhudumu wa tiketi kaniambia ingia tu,mtandao hakuna.
Ni kama Sizonje anavyowatambia na kuwatisha wapinzani kwa kiingereza. Dont follow follow me without because. You cant me am anotherHapana sio hivyo we TADPOLE a.k.a NDUBWI, inatakiwe iwe hivi....bila sababu ya msingi(without reason of primary)
Wanajamvi
Mke wangu yuko kariakoo Gerezani hapa anasema leo mwendokasi watu wanapanda bure
Yajayo yanafurahisha