Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

aise umeona eeh kweli kizuri chajiuza kibaya chajitembeza, hawa jamaa mi ata cwajui lkn nimetokea kuwa fill kinoma, nilipewa siti ya mwisho kbs dirishani lkn nimefika mtwara km vile nimeenda boing 737 kwa elfu 25 tu

Cjajua ulitumia #JM ipi,mimi nilipanda ile ambayo kuna vijana wawili as conductors. Suka wake (dreva) ni msela flan simple tu na mwenye #busara na #mstaarabu kweli . hadi raha. Kesho yake nilitamani nipande #JM hiyohiyo dar-mbeya. sema nikakuta seat nzuri za mbele zmeisha kwani za nyuma nisngekaa coz naumwa mguu na nilikuwa huko #ndanda hospital.

Wale jamaa hata wasipogawa chochote,mi naweza ridhika coz YOUTONG zao bado zko myuuuuuuu!!

Raha kweli.
 
Mkuu Mtwara naijuwa vizuri sana miaka ya 1999 kuja 2000 mwanzoni kusini kwa ujumla kulisahalika kwa wale wanao fahamu mtwara kwa ujumla awatabisha kwa hilo.Ila kwa sasa kidogo au tunaweza sema swala la usafiri kwa ujumla unaridhisha sijajuwa kama kile kipande cha km 60 kama kimekamilika chote.

Hadi mwez May mwaka huu zilibaki kilometa 11 tu lakini ni korofi balaa. Kwa sasa wanamalizia, hadi kufika Desemba kitaisha chote. Muanzisha uzi kasema kweli tupu na kiukweli miaka ya nyuma Mtwara ilikuwa ni shida kuanzia usafiri hadi huduma zingine kama umeme maji na mfumo wa barabara pale mjini Mtwara ilikuwa ni shida tupu. Kwa sasa mambo ni tofauti. Route ya Dar Mtwara kwa sasa ni miongoni mwa route yenye mabasi bora kabisa kwa sasa nchini Tanzania.
 
ila nna ushauri wa bule kwa wale ndugu zangu waliozamia mikoa wezetu, nimeona kesi nyingi za viwanja apa mkoani vlvle viwanja vinapanda bei kila siku, so km ulikua na shamba la urithi ulilitelekeza njoo araka ulidhibiti la sivyo utakuta wazungu wameshajenga magorofa
maana zile sehemu ambazo awali wa2 walikuwa awazitaki ata bure leo hii wakina dangote wanazinunua kwa garama yoyote.
yaani yule dingi ake Riz angekubali gas izalishwe na kufanyiwa kazi apaapa baa soma mbona mikorosho yote tungeika
 
Ataweza kushindana na WIFI

mwambie uyo wifi yako abadilishe jina kwanza coz anatudharau wamakonde, yaani sisi tumekuwa wote wa kike yaani sisi ni mawifi zake (alah haula)
 
Mtwara(mji siyo mkoa kwa maana ya mada husika) iko vizuri sana tena sana. Watu walio wengi wanapapenda Mtwara kwa kuwa mambo mengi wayapendayo ya kimjini utayapata pale tofauti na zamani. Mambo ambayo ni mvuto kwa watu wa mjini(japo mengine ni ya ovyo lakini ndo uhalisia wenyewe) ni kama:-
1. Usafiri wa uhakika
2. Hotel na lodge nzuri pamoja na viwanja vya burudani.
3. Vimwana hasa warembo hawa ambao wengi na wanafunzi wa vyuo.

Kuhusu 1 hapo juu, mabasi yaendayo Mtwara na bora kabisa kwa sasa tena kwa kupishana masaa kuanzia saa12 asubuhi hadi saa7 mchana.

Suala la hotels, lodge na viwanja liko murua kwa sasa pale Mtwara. Viwanja ni vingi lakini usisahau Maisha Club, New Makonde Royal Night Club, Copa Cabana kutaja chache tu kwa hapa.

Ile ya Warembo ni kichocheo kwa wanaume na huo ni ukweli japo ni jambo la ovyo! Utawapata Utumishi, Stella Maris University, TIA, COTC, TTC, TTTC na MAT-Naliendele!
 
Mtwara(mji siyo mkoa kwa maana ya mada husika) iko vizuri sana tena sana. Watu walio wengi wanapapenda Mtwara kwa kuwa mambo mengi wayapendayo ya kimjini utayapata pale tofauti na zamani. Mambo ambayo ni mvuto kwa watu wa mjini(japo mengine ni ya ovyo lakini ndo uhalisia wenyewe) ni kama:-
1. Usafiri wa uhakika
2. Hotel na lodge nzuri pamoja na viwanja vya burudani.
3. Vimwana hasa warembo hawa ambao wengi na wanafunzi wa vyuo.

Kuhusu 1 hapo juu, mabasi yaendayo Mtwara na bora kabisa kwa sasa tena kwa kupishana masaa kuanzia saa12 asubuhi hadi saa7 mchana.

Suala la hotels, lodge na viwanja liko murua kwa sasa pale Mtwara. Viwanja ni vingi lakini usisahau Maisha Club, New Makonde Royal Night Club, Copa Cabana kutaja chache tu kwa hapa.

Ile ya Warembo ni kichocheo kwa wanaume na huo ni ukweli japo ni jambo la ovyo! Utawapata Utumishi, Stella Maris University, TIA, COTC, TTC, TTTC na MAT-Naliendele!

Nakumbuka wakati tunasoma sekondary, ma-partner wetu walikuwa COTC.
 
Kusini kucheleeeeee,home sweet home

Ukitaka kusafiri huku roho yako ikitapatapa kwa wasafiri wa Dar-Masasi, panda Tandahimba Express, madereva wanakimbia utadhani wamebeba magazeti ya kupeleka mkoani.
Japo twashukia njiani, ila sipati picha wale wanaoendelea na safari inakuwaje, na hivi huko mbele Mangaka kuna kipande cha vumbi, wanakoma.
 
Nakumbuka enzi hizo Mlima Mmongo Lindi, gari ikishindwa kupandisha pale, lazima mlale mtake msitake.....sema kilichokuwa kinasaidia ni kuwa pale pembeni kuna kama kibwawa cha maji, basi tunajiloweka, tunasahau shida.

Ila sasa hivi ukipita hapo Mmongo na ukiambiwa kulikuwa na mlima utakataa.....kuko flattttttt, mambo ya Nkapa hayo.
Now Dar-Mtwara 7 hours wakati enzi hizo bila ya kulala siku 3 au 4 njiani basi hamjafika.
Mie nikishaiona Mikindani tu, moyo kunemenya kufurahi na ming'oko bila kusahau Chikandanga
 
Yote tisa, kumi Mr.Mkapa alipotuletea MV. SANTORINI
hahahaha, mpaka ikaitwa meli ya wanafunzi.
Maana yake likizo ikifika wanafunzi wooooote wa kusini haoooo melini, sema tu wale mabaharia wao walikuwa malaya sana, wanafunzi wametolewa sana bikira kule chini na hawa mabaharia wa Kigiriki.
Wanawavizia mkishuka ngazi, mnakuta wamejipanga huku wanakunywa bia, na walivyo wazuri basi wanafunzi wakiitwa tu, hao wanawafuata.
Wanaingizwa vyumbani mwao, wanakandamiziwa ukuni.
Aiseeee...tumetoka mbali saaaaaana.

Ila MV. SAFARI, sina hamu nayo!!!, umepanda meli kama umepanda mtumbwi unaoelekea MsangaMkuu!!
 
Ashukuriwe sana Mkapa la sivyo Mtwara na Lindi zilisahaulika sana...
 
Nakumbuka enzi hizo Mlima Mmongo Lindi, gari ikishindwa kupandisha pale, lazima mlale mtake msitake.....sema kilichokuwa kinasaidia ni kuwa pale pembeni kuna kama kibwawa cha maji, basi tunajiloweka, tunasahau shida.

Ila sasa hivi ukipita hapo Mmongo na ukiambiwa kulikuwa na mlima utakataa.....kuko flattttttt, mambo ya Nkapa hayo.
Now Dar-Mtwara 7 hours wakati enzi hizo bila ya kulala siku 3 au 4 njiani basi hamjafika.
Mie nikishaiona Mikindani tu, moyo kunemenya kufurahi na ming'oko bila kusahau Chikandanga


Lol, umenikoshaje!!! Ming'oko, chikandanga, enzi zileee twaenda Mtwara girls (Red skirts) samaki wa Nangurukuru! I mis kusini daaah
 
aise umeona eeh kweli kizuri chajiuza kibaya chajitembeza, hawa jamaa mi ata cwajui lkn nimetokea kuwa fill kinoma, nilipewa siti ya mwisho kbs dirishani lkn nimefika mtwara km vile nimeenda boing 737 kwa elfu 25 tu

Tusiongee kuusu usafiri tu kwa muliopo Mtwara kwa sasa kunafursa gani uko tujalibu kuja kuwekeza sisi wenye mitaji midogo coz wengine tuliondoka uko long time ago na tunataka tuludi home city
 
Join Date : 29th October 2014
Posts : 21
Rep Power : 305
Likes Received6
Likes Given0
naona umejiunga JF kwa ajili ya huu uzi
 
Yote tisa, kumi Mr.Mkapa alipotuletea MV. SANTORINI
hahahaha, mpaka ikaitwa meli ya wanafunzi.
Maana yake likizo ikifika wanafunzi wooooote wa kusini haoooo melini, sema tu wale mabaharia wao walikuwa malaya sana, wanafunzi wametolewa sana bikira kule chini na hawa mabaharia wa Kigiriki.
Wanawavizia mkishuka ngazi, mnakuta wamejipanga huku wanakunywa bia, na walivyo wazuri basi wanafunzi wakiitwa tu, hao wanawafuata.
Wanaingizwa vyumbani mwao, wanakandamiziwa ukuni.
Aiseeee...tumetoka mbali saaaaaana.

Ila MV. SAFARI, sina hamu nayo!!!, umepanda meli kama umepanda mtumbwi unaoelekea MsangaMkuu!!

Hahahaaa tena juzi kaka angu kanikumbusha kuhusu Mv Safari....yani meli ukipanda tu unaanza kutapikia mlangoni...Khaaaa...

Ila me nlikuwa ngangari nakula kila kitu ns sitapikii.....tumetoka mbaliii...
 
Yote tisa, kumi Mr.Mkapa alipotuletea MV. SANTORINI
hahahaha, mpaka ikaitwa meli ya wanafunzi.
Maana yake likizo ikifika wanafunzi wooooote wa kusini haoooo melini, sema tu wale mabaharia wao walikuwa malaya sana, wanafunzi wametolewa sana bikira kule chini na hawa mabaharia wa Kigiriki.
Wanawavizia mkishuka ngazi, mnakuta wamejipanga huku wanakunywa bia, na walivyo wazuri basi wanafunzi wakiitwa tu, hao wanawafuata.
Wanaingizwa vyumbani mwao, wanakandamiziwa ukuni.
Aiseeee...tumetoka mbali saaaaaana.

Ila MV. SAFARI, sina hamu nayo!!!, umepanda meli kama umepanda mtumbwi unaoelekea MsangaMkuu!!

Hahaha Madame B umenikumbusha mbali MsangaMkuu lol..inaonekana unepiga sana kusini
chingas usemayo kweli kabisa japo sijayaoanda bado hayo mabasi ila nayaona barabarani ni mazuri

Ila pamoja na yote maisha Mtwara ni ghali sana...kila kitu ghali lodge ghali msosi ghali...muda mwingi lodge zimejaa nadhani shauri ya wachimba gesi..ni kama mji umevamiwa haukuwa umejiandaa kwa maingilio makubwa ya watu..

Lingine huduma kwa wateja bado sana kwa watu wa Mtwara..ni sheeder...

Ila kwenye viwanja kweli sasa ivi ghali sana vimepanda bei
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom