Usafiri wa kutumia ungo upo wa aina nyingi

nimtii...?
 
Hii kama ipo ni aina ya sayansi. Lakini miafrika kwa roho zao chafu wanaitumia tu kwa kudhuru wengine. Angeipata Mzungu angekwishafika mbingu ya tano!
 
Bado naitafakari sana dhana nzima ya ushirikina!
 
natamani siku moja nitumie huo usafiri japo kwa nia njema ya kuwahi kwenye mihangaiko yangu
 
Me huwa nashangaa, inakuaje wachawi wanakamatwa? Wanashindwa kuyeyuka dakika O
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…