Pre GE2025 Usafiri wa kwenda Morogoro umekuwa wa shida leo Mbezi Stendi ya Magufuli jijini Dar kutokana na madai ya mabasi kukodishwa na UVCCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Treni vipi kwani au umeme hamna Dar-Moro?
Watu wengi bado hawako awea na treni aidha treni inaondoka 12 asubuhi na 10 jioni hivyo hapa kati mtu yuko busy anataka kuwahi moro
 
Weekend huwa kuna shida ya usafidi wa Dar Moro vile watu wengi wanasafiri.
Mimi iliwahi nilazimu kukata Shabybi ya Dodoma nikashukia Moro kuokoa muda.
Sasa jana ilikuwa zaidi ya weekend kutokana na mabus ya Abood kuwa machache na ujue kuwa Abood ndio King of the Lord Dar moro Moro Dar
 
Panda SGR
Magari kuwa busy ni mafanikio kwa wafanyabiashara

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Kwani uvccm hawapo morogoro, mpaka wabebe watu toka mkoa mmoja hadi mwingine? Kama ni hivyo bora mkutano ungefanyika Dar KuSave gharama na usumbufu🤔
 
kapande treni mpya, wacha kulalamika. Ukiikosa ya asubuhi panda ya jioni.

CCM ni chama dola.
 

Pesa ya ABDUL siyo mchezo ..... Warabu watakuwa wamemwaga pesa ya kufa mtu safari hii kuhakikisha Maza anaendelea.
 
Kwani uvccm hawapo morogoro, mpaka wabebe watu toka mkoa mmoja hadi mwingine? Kama ni hivyo bora mkutano ungefanyika Dar KuSave gharama na usumbufu🤔
Soma vizuri uelewe kilichoandikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…