kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Usafiri wa level siti ni mzuri sana katika kupambana na magonjwa Kama COVID-19, TB, surua, mafua, upele, fungus yanayoenea kwa njia ya hewa na kugusana, lakini yafuatayo lazima yafanyike kwenye Usafiri huu ili usilete usumbufu:
1. Nauli ya kituo hadi kituo iwe 1000. Sh. 400, 500 au 600 hazitoshi kiuhalisia hasa kwa level siti.
2. Mabasi yapangiwe ratiba za kupita vituoni.
3. Mabasi yasisubiri siti zote zijae kwenye kituo kimoja Cha mwisho maana abiria wengi wako vituo vya njiani.
4. Traffic waache kukamata mabasi kipindi Cha Asubuhi sana hadi saa 4 asubuhi kupunguza usumbufu kwa abiria
5. Mabasi ya Usafiri wa umma yapewe kipaumbele barabarani, vituo vya mafuta, mataa ya barabarani.
6. Mabasi ya Usafiri wa umma yapunguziwe tozo za Kodi mbalimbali.
1. Nauli ya kituo hadi kituo iwe 1000. Sh. 400, 500 au 600 hazitoshi kiuhalisia hasa kwa level siti.
2. Mabasi yapangiwe ratiba za kupita vituoni.
3. Mabasi yasisubiri siti zote zijae kwenye kituo kimoja Cha mwisho maana abiria wengi wako vituo vya njiani.
4. Traffic waache kukamata mabasi kipindi Cha Asubuhi sana hadi saa 4 asubuhi kupunguza usumbufu kwa abiria
5. Mabasi ya Usafiri wa umma yapewe kipaumbele barabarani, vituo vya mafuta, mataa ya barabarani.
6. Mabasi ya Usafiri wa umma yapunguziwe tozo za Kodi mbalimbali.