Tetesi: USAFIRI WA NOAH,

ophthalmic doctor

Senior Member
Joined
Feb 12, 2017
Posts
191
Reaction score
249
Hatimaye serikali yasitisha usajili wanoah katika biashara.
Huu usafiri unasaidia sana vijijini, umerahisisha maendeleo na mambo mengine , figusu katika nchi yetu haziishi, hatimaye wamesitisha huduma za kusajili noah katika biashara, sijui hii imechukuliwa kwa mtazamo gani.
Hivi wanaopitishaga haya maswala wanajua hadha za usafiri vijijini kweli au wamekaa kwenye viyoyozi tu wanakurupuka kutoka usingizini.
 
Ni kama yule RC aliyesema mabasi yashushe na kupakilia abiria Mbezi terminal na siyo vinginevyo, in real sense hawa watu wanatafuta kuheshimiwa na kuogopwa kwa kuwatengenezea wananchi maisha magumu badala ya kuwarahisishia maisha, hii yote huja ili ku favour masilahi yao, ningewaona wana akili kama wangekuwa wanasitisha huduma baada ya kuwa wameweka huduma mbadala
 
Designer wa NOAH sijui alikula maharagwe ya wapi yule.

Vioo vya nyuma havifunguki kabisa.

Bila AC,
Mnaiva kabisa kule nyuma[emoji3525]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…