Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
540 na PW wote ni wajinga wajinga tu! Bora upande basi la Najumunisa au Zaka Fasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDEGE ZA PW ZINA HALI NZURI, na nyingi ni mpya!
Tuacheni uwongo!
Kuna mtu anaongelea flight 402...hii ni kutaka kuwafool watu. Hakuna route iliyo na ndege specific kwa maana kwamba ni ndege hiyohiyo inayoenda route hiyo, zinabadilikabadilika. Leo ni 5hpwc, kesho pwd, siku ingine pwe etc..
Mi ningewaona wa maana kama mngeongelea Hisa za PW!
NDEGE ZA PW ZINA HALI NZURI, na nyingi ni mpya!
Tuacheni uwongo!
Kuna mtu anaongelea flight 402...hii ni kutaka kuwafool watu. Hakuna route iliyo na ndege specific kwa maana kwamba ni ndege hiyohiyo inayoenda route hiyo, zinabadilikabadilika. Leo ni 5hpwc, kesho pwd, siku ingine pwe etc..
Mi ningewaona wa maana kama mngeongelea Hisa za PW!
NDEGE ZA PW ZINA HALI NZURI, na nyingi ni mpya!
Tuacheni uwongo!
Kuna mtu anaongelea flight 402...hii ni kutaka kuwafool watu. Hakuna route iliyo na ndege specific kwa maana kwamba ni ndege hiyohiyo inayoenda route hiyo, zinabadilikabadilika. Leo ni 5hpwc, kesho pwd, siku ingine pwe etc..
Mi ningewaona wa maana kama mngeongelea Hisa za PW!
Nilipanda moja toka Mtwara yaani viti vyote ni matambara mabovu mpaka raia wa kigeni wakatikisa vichwa. Mende pia walikuwamo
NDEGE ZA PW ZINA HALI NZURI, na nyingi ni mpya!
Tuacheni uwongo!
Kuna mtu anaongelea flight 402...hii ni kutaka kuwafool watu. Hakuna route iliyo na ndege specific kwa maana kwamba ni ndege hiyohiyo inayoenda route hiyo, zinabadilikabadilika. Leo ni 5hpwc, kesho pwd, siku ingine pwe etc..
Mi ningewaona wa maana kama mngeongelea Hisa za PW!
ndege za pw zina hali nzuri, na nyingi ni mpya!
Tuacheni uwongo!
Kuna mtu anaongelea flight 402...hii ni kutaka kuwafool watu. Hakuna route iliyo na ndege specific kwa maana kwamba ni ndege hiyohiyo inayoenda route hiyo, zinabadilikabadilika. Leo ni 5hpwc, kesho pwd, siku ingine pwe etc..
Mi ningewaona wa maana kama mngeongelea hisa za pw!
Kubadili badili ratiba ni kweli. Kwani hata mi nishawahi kukaa kuanza 3 usubuhi nakuja ondoka 12 jioni, lakini lunch walinunulia na walikuwa apologetic, mende sijawahi ona