brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 247
- 135
Ipo nadhani ni siku za jumatano na jumapili pia nauli zake ni 18k.Habari za leo wadau,
Naomba kuuliza kama kuna usafiri wa tren isiyo kuwa ya umeme kutoka Moshi mpaka dar es salaam, na kama ipo nauli ni kiasi gani??
#nashukuru sana kwa maoni yako,Ipo nadhani ni siku za jumatano na jumapili pia nauli zake ni 18k.
Mie mzee wangu anafanya kazi TRC.#nashukuru sana kwa maoni yako,
Nakumbuka mwezi wa 3 mwishoni hakukuwa na usafiri kutokana na mvua kuwa nyingi, kwahiyo nilitaka kujua kama imesha ruhusiwa kufanya safiri au bado??
#naomba unisaidie ndugu yangu 🙏🏾 kuniulizia alafu unipe mlejeshoMie mzee wangu anafanya kazi TRC.
Nakumbuka alinambia marekebisho yashafanyika.
Labda nimpigie kuhakiki zaidi.
#nakuomba pia uniulize na nauli ya sahivi kwa daraja zote na siku za safari.Mie mzee wangu anafanya kazi TRC.
Nakumbuka alinambia marekebisho yashafanyika.
Labda nimpigie kuhakiki zaidi.
Mwambie akupe free pass#nakuomba pia uniulize na nauli ya sahivi kwa daraja zote na siku za safari.
Mkuu umebaka maada au uko mbele ya muda?mipango ya kuifuta na kuiuwa ilianzishwa tangia awamu ya 4 ya raisi kikwete kila kitu kilishafanyika sasa hivi wanatekeleza tu, uraisi ni kupokezana kijiti …
#ndugu, unajibu swali au unatoa hoja??mipango ya kuifuta na kuiuwa ilianzishwa tangia awamu ya 4 ya raisi kikwete kila kitu kilishafanyika sasa hivi wanatekeleza tu, uraisi ni kupokezana kijiti …
#hahahahah nataka kupata hizo information tuMwambie akupe free pass
Sawa leo usiku saa 4 au 5 nakupa mrejesho.#nakuomba pia uniulize na nauli ya sahivi kwa daraja zote na siku za safari.
#sawa nitashukuru sanaSawa leo usiku saa 4 au 5 nakupa mrejesho.
Treni ya deluxe ratiba yake ya Arusha ni Ijumaa na Jumapili.#sawa nitashukuru sana
#inaanzia Arusha tu au Moshi??Treni ya deluxe ratiba yake ya Arusha ni Ijumaa na Jumapili.
Nauli second seat elfu 25.
Nauli third seat elfu 18.
Kitanda elfu 32.
Inafika hadi Arusha.#inaanzia Arusha tu au Moshi??
Hapana jumatatu na ijumaa inatoka Dar es salama na jumanne na jmosi inatoka Moshi ila kuanzia mwez wa 10 routes zinaongezekaIpo nadhani ni siku za jumatano na jumapili pia nauli zake ni 18k.
#duuh!na Mimi nipo Moshi kwahiyo nikapandie Arusha?Inafika hadi Arusha.
Kituo cha mwisho Arusha.
Yani ni From Dar to Arusha na From Arusha to Dar.
#inamaana mpaka Sasa ipo na route zake ndio hizo??Hapana jumatatu na ijumaa inatoka Dar es salama na jumanne na jmosi inatoka Moshi ila kuanzia mwez wa 10 routes zinaongezeka
Hamna si inapita hapo Moshi?#duuh!na Mimi nipo Moshi kwahiyo nikapandie Arusha?