Nimeulizia nimeambiwa Ijumaa na Jumapili kwa kutoka huku Dar.Hapana jumatatu na ijumaa inatoka Dar es salama na jumanne na jmosi inatoka Moshi ila kuanzia mwez wa 10 routes zinaongezeka
Hamna si inapita hapo Moshi?
Kwani Moshi hakuna kituo cha treni mkuu??
#nashukuru sanaNimeulizia nimeambiwa Ijumaa na Jumapili kwa kutoka huku Dar.
Hiyo nliyokupa Ndio ratiba ninayofanyia kazi mkuuNimeulizia nimeambiwa Ijumaa na Jumapili kwa kutoka huku Dar.
Basi huwenda mzee kajikanganya kidogo.Hiyo nliyokupa Ndio ratiba ninayofanyia kazi mkuu
Basi huwenda mzee kajikanganya kidogo.
Maana Mzee Kippaya wa hapo TRC ndio kaniipa hiyo ratiba.Huwenda kajichanganya.
Basi huyo mimi ndio mzee wangu bana.Yes ameghafirika
ogBasi huyo mimi ndio mzee wangu bana.