Usafiri wa treni ya SGR sio usafiri wa uhakika

Usafiri wa treni ya SGR sio usafiri wa uhakika

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
408
Reaction score
1,549
Tokea wiki iliyopita naangalia tiketi ya safari kwenda morogoro siku ya Alhamis sioni safari! Wanaweka safari ya siku moja moja.

Unaweza ukasema usubirie waiweke safari ya siku unayotaka na wasiiweke, siku hiyo kukawa hakuna safari kwahiyo inakua kama umepoteza muda kusubiria.

Huu usafiri si wa uhakika kabisa yani mtu huwezi kufanya booking hata ya wiki ijayo! Hili TRC inaendeshwa kienyeji sana! Na ndio maana treni zinaenda na kurudi tupu!!
Screenshot_20241014_113041_Chrome.jpg
Screenshot_20241014_113041_Chrome.jpg
Screenshot_20241014_113041_Chrome.jpg
 
Tokea wiki iliyopita naangalia tiketi ya safari kwenda morogoro siku ya Alhamis sioni safari! Wanaweka safari ya siku moja moja.

Unaweza ukasema usubirie waiweke safari ya siku unayotaka na wasiiweke, siku hiyo kukawa hakuna safari kwahiyo inakua kama umepoteza muda kusubiria.

Huu usafiri si wa uhakika kabisa yani mtu huwezi kufanya booking hata ya wiki ijayo! Hili TRC inaendeshwa kienyeji sana! Na ndio maana treni zinaenda na kurudi tupu!!View attachment 3124630View attachment 3124630View attachment 3124630

hivi Tz, ni kitu gani tunachoweza?!

sijui ni laana ...

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Ikiwa guvto inamaana mwendeshaji yashamshinda, tusingoje mpaka akaiuwa kabisa. Apewe mtu binafsi, shirika la umma haliwezi kuendesha kitu kikafanikiwa.

Alishindwa Nyerere itakuwa kadogosa?
 
Kwa weekend ndefu wasafiri ni wengi
Mfano kuanzia Tar 11/10 - 15/10.2024 (asubuhi) kutoka DSM kwenda Dodoma ama Dodoma kwenda DSM wasafiri ni wengi. Fuatilia usafiri wa Ijumaa/Jumamosi & Jumapili -
Nimeutumia usafiri huo - kiuhalisia wanajitahidi sana - mapungufu hayakosekani
 
Tokea wiki iliyopita naangalia tiketi ya safari kwenda morogoro siku ya Alhamis sioni safari! Wanaweka safari ya siku moja moja.

Unaweza ukasema usubirie waiweke safari ya siku unayotaka na wasiiweke, siku hiyo kukawa hakuna safari kwahiyo inakua kama umepoteza muda kusubiria.

Huu usafiri si wa uhakika kabisa yani mtu huwezi kufanya booking hata ya wiki ijayo! Hili TRC inaendeshwa kienyeji sana! Na ndio maana treni zinaenda na kurudi tupu!!View attachment 3124630View attachment 3124630View attachment 3124630
Ulikuwa unahangaika na ticket za MGR sio SGR
 
Back
Top Bottom