Usafiri wa umma watakiwa kubeba abiria kwa idadi ya viti 'Level Seat' ili kupambana na mlipuko wa Virusi Corona

Mwendo kasi wameshindwa nomi kama kawa!!!
 
Nami nafika stendi nakutana na hiyo heka heka bahati yangu tu niliwahi kuwasiri kituoni saa 12 kasoro.
 
kunguni wa ulaya, Hayo yote kupoteza mda serikali bado ijafanya kazi yake ya kuzuia kuenea kwa gonjwa hi la covid 19, distancing inayo hitajika ni mita moja kutoka mtu kwa mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
nkiwaza pale feri tunavyo banana kusubiria pantoni, hyo one meter distance tutaingia 50 tu. na Pantoni itakula hasara, au foleni ya kukata tiketi itakuwa ikulu au azania front
 
Sasa mkuu wakisitisha kabisa sindonuchumi utayumba kabisa? Bora iwe level seat hivyo hivyo watu waende makazini mwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapa ndipo mnapofeli huyo daktari amekwambia hao wagonjwa wengi wamepelekwa hospitali gani?..
una akili jaribu kuzitumia acha kusikiliza maneno ya kuambiwa...
niliwahi kusema humu CORONA HAIFICHIKI.
inajionyesha tu kama wapo wengi walioathirika wataonekana.leo ni wiki ya pili je kuna vifo?.
JE yupo ambae yuko kwenye Hali mbayaa?.
Jana kuna daktari wa wizara nilikua naongea nae alidai tatizo kubwa(maambukizi ni mengi kuliko inavyoelezwa)...muda wote vikao na wamesitisha ziara zao zote za mikoani kwa ajili ya korona.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali kuchelewa kuliko kutoenda kabisa.
@Rrondo asante kwa mchango mzuri.
Ingefaa sana watu wajifungie nyumbani, tusisahau nchi hii ni ya wanyonge na baba wa wanyonge analitambua hili.
Wasipoenda kazini watakula nini?
Bora wachelewe lakini waende
Sent using Jamii Forums mobile app
 
FUNGA MIPAKA
FUNGA WATU KUZURURA MJINI
FUNGA OFISI
 
Sikia maelezo yake amesema kuna wengi wameambukizwa ila bado hawajafahamika kutokana na miundo mbinu kuwa duni...pia kuna wengine wanafanya siri akatolea mfano yule waziri wa Zanzibar matokeo yake kaambukiza mpaka watoto kwahiyo maambukizi mengi kuliko kasi ya kutangaza...

Sijakubali wala kupinga nimemsikiliza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…