Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana hiiKatika mikakati ya kupambana na ugonjwa wa Corona (Covid-19) serikali kupitia Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani linasimamia kuhakikisha kila gari ya abiria inabeba abiria kulingana na idadi ya siti zilizopo.
Mfano leo huku Wilaya ya Kigamboni ikitokea daladala imejaza zaidi ya uwezo wake na wengine kusimama, wote waliosimama wanaamriwa kushuka na kusubiri usafiri mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunawa sawa,je kupumuliana?Kuhusu Mwendokasi trafiki tuliowauliza walitujibu zimeruhusiwa kwa kuwa eti wanapewa sanitizer na wanakaguliwa kabla ya kupanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unafikiri kabla ya kuropoka..watu wasiende kazini,unajua athari zake wewe!!???Ni bora serikali wafanye wasitishe watu wote wasiende makazini ili kuepusha kuenea kwa ugonjwa wa Corona kuliko kuzuia usafiri wa umma uwe level seat.
Leo kuna adha kubwa ya usafiri kwa sababu ya level seat. Ni hatari sana kwa maendeleo ya uchumi
kitochi
Wabongo wanaropoka tu,watu wasiende kazini, wiki tu hapa tunapoteana...Sasa huoni kwamba wakisitisha kabisa athari kiuchumi ndio itakuwa kubwa zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa route ya Ferry-Machinga complex ina daladala chini ya 10 siitakuwa balaa!
Muhimu angalia wazo siko ki siasaUmmy anapitia changamoto gani mkuu! Naona niko nyuma kidg!