Usafirishaji wa Mizigo na Vifurushi (Mikoa Yote Tanzania Bara Na Visiwani)

Usafirishaji wa Mizigo na Vifurushi (Mikoa Yote Tanzania Bara Na Visiwani)

Joined
Aug 16, 2022
Posts
1
Reaction score
1
Usambazaji wa mizigo mikoa yote ya Tanzania – Bara na Visiwani.​

Marathon Logistics inapenda kukufahamisha kwamba inatoa huduma za usafirishaji wa mizigo (midogo midogo na mikubwa) na vifurushi ndani ya Tanzania – Bara na Visiwani. Hii ni:

  • Kutoka Dar es Salaam kwenda mikoa yote ya Tanzania – Bara na Visiwani;
  • Ndani ya Dar es Salaam, yani kutoka eneo moja hadi lingine (kwa mfano wilaya moja kwenda nyingine);
  • Kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine; kwa mfano Dodoma – Singida; Mwanza – Kagera n.k.;
  • Ndani ya mikoa yote ya Tanzania – Bara na Visiwani.
Baadhi ya faida za kusafirisha na kampuni ya Marathon Logistics ni kama zifuatazo:

  • Bei zetu ni nafuu kuliko wasafirishaji wote;
  • Mizigo yote inakuwa na bima, kwa hiyo ikitokea dharura yoyote kama mzigo kuungua – mteja anafidiwa kulingana na thamani ya mzigo wake;
  • Mteja anaweza kufuatilia mzigo wake kupitia trucking system yetu, na hivyo kujua umefika wapi wakati wowote ule; na
  • Huduma zenye ubora – usafirishaji wa uhakika, haraka na salama.
Tuna ofisi kwenye kila mkoa, na kwa Dar es Salaam tunapatikana:

  • Kariakoo Mtaa wa Agrey na Congo – Uhuru Junction kwenye Mataa
  • Ofisi Kuu ipo: Kijito Nyama Mpakani, Mwangashimo Street, Karibu na Marie Stopes Hospital
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kutupigia, kuandika barua pepe au kutuma ujumbe kwa WhatsApp kwa:

P: 0766-063-158/0620-254-426/0744-022-263

E: info@marathonlogistics.co.tz

Google Map Link: Marathon Logistics Limited - Google Maps
 
Usambazaji wa mizigo mikoa yote ya Tanzania – Bara na Visiwani.​

Marathon Logistics inapenda kukufahamisha kwamba inatoa huduma za usafirishaji wa mizigo (midogo midogo na mikubwa) na vifurushi ndani ya Tanzania – Bara na Visiwani. Hii ni:

  • Kutoka Dar es Salaam kwenda mikoa yote ya Tanzania – Bara na Visiwani;
  • Ndani ya Dar es Salaam, yani kutoka eneo moja hadi lingine (kwa mfano wilaya moja kwenda nyingine);
  • Kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine; kwa mfano Dodoma – Singida; Mwanza – Kagera n.k.;
  • Ndani ya mikoa yote ya Tanzania – Bara na Visiwani.
Baadhi ya faida za kusafirisha na kampuni ya Marathon Logistics ni kama zifuatazo:

  • Bei zetu ni nafuu kuliko wasafirishaji wote;
  • Mizigo yote inakuwa na bima, kwa hiyo ikitokea dharura yoyote kama mzigo kuungua – mteja anafidiwa kulingana na thamani ya mzigo wake;
  • Mteja anaweza kufuatilia mzigo wake kupitia trucking system yetu, na hivyo kujua umefika wapi wakati wowote ule; na
  • Huduma zenye ubora – usafirishaji wa uhakika, haraka na salama.
Tuna ofisi kwenye kila mkoa, na kwa Dar es Salaam tunapatikana:

  • Kariakoo Mtaa wa Agrey na Congo – Uhuru Junction kwenye Mataa
  • Ofisi Kuu ipo: Kijito Nyama Mpakani, Mwangashimo Street, Karibu na Marie Stopes Hospital
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kutupigia, kuandika barua pepe au kutuma ujumbe kwa WhatsApp kwa:

P: 0766-063-158/0620-254-426/0744-022-263

E: info@marathonlogistics.co.tz

Google Map Link: Marathon Logistics Limited - Google Maps
Bei ya kusafirisha bajaji sh ngapi kutoka dsm mpk mwanza
 
Back
Top Bottom