USAHIHI: Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali amepangiwa Majukumu mengine na siyo kutumbuliwa. Anaweza kuwa na Majukumu makubwa kuliko ya Awali

..maana yake yuko benchi.
Hivi unaelewa kiswahili kweli wewe? Benchi ni mtu ambaye hana majukumu ya kufanya.sasa ni wapi umeambiwa kuwa Matinyi ameachwa bila majukumu ya kufanya? Huoni katika taarifa kuwa kupangiwa MAJUKUMU MENGINE? Kweli CHADEMA akili zenu mnazijuwa wenyewe tu.
 
Kuna mtu amekuuliza?
 
Kwanza sisi hatuna shida na Matinya hatuhuusu, tunacholalamika ni hizi teuzi, tengua hamisha za hovyo na gharama kubwa kwa walipa kodi
Yes ni kweli mkuu, maana mtu akipata teuzi tu hata mshahara unapanda tena wengine hata mara 4 alafu akitenguliwa mshahara huwa unabaki ule ule na kuja mwingine tena.....kuna Kuna Kuna ma-senior govt official kibao wengine wanazunguuka zunguuka tu
 

..yuko benchi mpaka nafasi yake mpya itakapotajwa, na atakapoapishwa ktk nafasi hiyo.
 
Wewe kapuku utaendelea kufukuza upepo sana kwa mwaka wa 2 mwingine.

Hizo buku 7 ndio zitakuwa kifuta jasho chako.
 
Hili linatusaidia nini sisi? Na yakiwa madogo linatusaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…