USAHIHI: Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali amepangiwa Majukumu mengine na siyo kutumbuliwa. Anaweza kuwa na Majukumu makubwa kuliko ya Awali

USAHIHI: Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali amepangiwa Majukumu mengine na siyo kutumbuliwa. Anaweza kuwa na Majukumu makubwa kuliko ya Awali

Ndugu zangu watanzania,

Nimeona ni kama kiswahili kimekuwa kigumu kidogo kwetu watanzania japo ndio lugha yetu ya Taifa au huwa tunasoma taarifa kwa juu juu tu,kama kawaida yetu ya baadhi yetu watanzania ya uvivu wa kusoma habari au taarifa kwa umakini na utulivu.

Nimepita baadhi ya maeneo na kwenye kurasa mbalimbali za Mitandao za baadhi ya watu,nimeshangaa wakitumia maneno kuwa aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali ametumbuliwa,jambo ambalo siyo kweli .

Ukweli na usahihi ni kuwa taarifa ya ikulu inasema kuwa AMEPANGIWA MAJUKUMU MENGINE,ambapo majukumu hayo bila shaka yatatangazwa muda wowote ule kwa umma, ili umma ujuwe mtumishi wao ni nani katika nafasi fulani.

Na unaweza kuta majukumu hayo mengine mapya yanaweza kuwa makubwa sana kuliko majukumu aliyokuwa nayo Awali. Kwa hiyo tuendelee kuwa na subira na utulivu kusubiri majukumu hayo mapya.

Kuelewa hiki nilichokizungumza basi angalia katika orodha hii ya majina hapo chini uende mpaka namba (IV )uone lugha iliyotumiwa katika taarifa ya Ikulu .View attachment 3018479View attachment 3018479

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Haiondoi ukweli kuwa Ikulu kuna jambo kubwa linaendelea na mazonge zonge yameanzia kwenye mrejesho wa ziara ya Korea
 
Haiondoi ukweli kuwa Ikulu kuna jambo kubwa linaendelea na mazonge zonge yameanzia kwenye mrejesho wa ziara ya Korea
Mheshimiwa Rais anao uhuru na mamlaka ya kufanya mabadiliko ya watendaji serikalini kwa namna anayoona itachochea zaidi ufanisi serikalini katika kuwatumikia wananchi.ndio maana leo mtu anaweza tolewa huku na kupelekwa kule na wa kule akapelekwa kwingine au kupumzishwa kidogo kabla ya kurejeshwa tena baadaye.
 
pamoja na hayo,
hii inadhihirisha kwamba chama na serikali ina hazina kubwa ya watu na viongozi makini, wenye sifa, vigezo, weledi na uadilifu katika utumishi wa umma ukilinganisha na na taasisi au vyama vya kisiasa vinavyojitutumuaga eti wana ndoto ya uongozi wa nchi hali yakua hata kwenye vyama vyao tu hawatoshi ni wachache mno...

waliopangiwa majukumu mengine ni miongoni mwa watu wa maana na muhimu,

na kwahivyo wakati mwingine hupitishwa kwanza kwenye mafunzo ya muda mfupi kuhusu kazi atakayopangiwa, kabla ya kuteuliwa na kupangiwa hayo majukumu mengine mapya....

kwa nyongeza,
ni vizuri ikafahamika hivyo pia [emoji205]
Duh! Prof. Mkenda bado ana kazi kubwa sana kwenye mfumo wetu wa elimu, elimu sahihi ni ile itakayomuwezesha msomi kufikiri na kuchanganua mambo (criticle thinking). Haya yote ni matokeo ya Taasisi zetu za elimu ya juu kuingia kwenye mfumo wa siasa kwa kukubali kuwa matawi ya vyama vya siasa badala ya kunoa bongo za wasomi. Prof. Mukandala, Prof. Kabudi na wengine damu ya Taifa hili itawalilia daima, wametumbukiza wasomi shimoni kwa kuwafanya wakubali "kuwaabudu" wanasiasa
 
pamoja na hayo,
hii inadhihirisha kwamba chama na serikali ina hazina kubwa ya watu na viongozi makini, wenye sifa, vigezo, weledi na uadilifu katika utumishi wa umma ukilinganisha na na taasisi au vyama vya kisiasa vinavyojitutumuaga eti wana ndoto ya uongozi wa nchi hali yakua hata kwenye vyama vyao tu hawatoshi ni wachache mno...

waliopangiwa majukumu mengine ni miongoni mwa watu wa maana na muhimu,

na kwahivyo wakati mwingine hupitishwa kwanza kwenye mafunzo ya muda mfupi kuhusu kazi atakayopangiwa, kabla ya kuteuliwa na kupangiwa hayo majukumu mengine mapya....

kwa nyongeza,
ni vizuri ikafahamika hivyo pia 🐒
Wazee wa kujikomba aka vyawa
 
Ndugu zangu watanzania,

Nimeona ni kama kiswahili kimekuwa kigumu kidogo kwetu watanzania japo ndio lugha yetu ya Taifa au huwa tunasoma taarifa kwa juu juu tu,kama kawaida yetu ya baadhi yetu watanzania ya uvivu wa kusoma habari au taarifa kwa umakini na utulivu.

Nimepita baadhi ya maeneo na kwenye kurasa mbalimbali za Mitandao za baadhi ya watu,nimeshangaa wakitumia maneno kuwa aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali ametumbuliwa,jambo ambalo siyo kweli .

Ukweli na usahihi ni kuwa taarifa ya ikulu inasema kuwa AMEPANGIWA MAJUKUMU MENGINE,ambapo majukumu hayo bila shaka yatatangazwa muda wowote ule kwa umma, ili umma ujuwe mtumishi wao ni nani katika nafasi fulani.

Na unaweza kuta majukumu hayo mengine mapya yanaweza kuwa makubwa sana kuliko majukumu aliyokuwa nayo Awali. Kwa hiyo tuendelee kuwa na subira na utulivu kusubiri majukumu hayo mapya.

Kuelewa hiki nilichokizungumza basi angalia katika orodha hii ya majina hapo chini uende mpaka namba (IV )uone lugha iliyotumiwa katika taarifa ya Ikulu .View attachment 3018479View attachment 3018479

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hata RC wa SIMIYU atapangiwa majukumu mengine ni suala la muda tu kwa hawa watawala wa ccm
 
Mheshimiwa Rais anao uhuru na mamlaka ya kufanya mabadiliko ya watendaji serikalini kwa namna anayoona itachochea zaidi ufanisi serikalini katika kuwatumikia wananchi.ndio maana leo mtu anaweza tolewa huku na kupelekwa kule na wa kule akapelekwa kwingine au kupumzishwa kidogo kabla ya kurejeshwa tena baadaye.
Ili huko wanakopelekwa wakaharibu tena zaidi kwasababu uhalisia ni kwamba hakuna binadamu anakubali makosa yake kirahisi na anapotolewa sehemu iliyokuwa na maslahi kwake/ hadhi ukampeleka sehemu ya chini/yenye hadhi ndogo kuliko alipokuwa utendaji wake utakuwa wa hovyo maradufu. Hii ni asili ya binadamu
 
Hata RC wa SIMIYU atapangiwa majukumu mengine ni suala la muda tu kwa hawa watawala wa ccm
Ndio anaweza kupangiwa ikiwa uchunguzi utabaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na kutengenezeana ajali za kisiasa na kuchafuana kwa maslahi ya baadhi ya watu. Si unaona CHADEMA walikuwa wanamuimba hayati Edward lowassa kuwa ni fisadi lakini 2015 walimkaribisha na wakawa wanainama barabarani kupiga deki lami ili akipita matairi ya gari lake yasichafuke?
 
Ili huko wanakopelekwa wakaharibu tena zaidi kwasababu uhalisia ni kwamba hakuna binadamu anakubali makosa yake kirahisi na anapotolewa sehemu iliyokuwa na maslahi kwake/ hadhi ukampeleka sehemu ya chini/yenye hadhi ndogo kuliko alipokuwa utendaji wake utakuwa wa hovyo maradufu. Hii ni asili ya binadamu
Cheo ni dhamana,ukiharibu lazima uwajibishwe.
 
Wazee wa kujikomba aka vyawa
hata iweje waTanzania lazima wakombolewe kwa hali na mali, dhidi ya malaghai ya kisiasa nchini yanayofadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi....

na ni Faraja ya kipekee sana kwamba uelewa, ufahamu, Imani na matumaini ya waTanzania ni kwenye chama na serikali sikivu ya kizalendo, chini ya kiongozi makini, shupavu na madhubuti sana comrade Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
 
hata iweje waTanzania lazima wakombolewe kwa hali na mali, dhidi ya malaghai ya kisiasa nchini yanayofadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi....

na ni Faraja ya kipekee sana kwamba uelewa, ufahamu, Imani na matumaini ya waTanzania ni kwenye chama na serikali sikivu ya kizalendo, chini ya kiongozi makini, shupavu na madhubuti sana comrade Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
Hata Mbowe tu anayo imani kubwa sana na Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,kuwa ndio mtu na kiongozi pekee awezaye kuliongoza Taifa letu kwa Sasa na kuliletea maendeleo endelevu na yenye kugusa maisha ya watanzania.
 
Ndugu zangu watanzania,

Nimeona ni kama kiswahili kimekuwa kigumu kidogo kwetu watanzania japo ndio lugha yetu ya Taifa au huwa tunasoma taarifa kwa juu juu tu,kama kawaida yetu ya baadhi yetu watanzania ya uvivu wa kusoma habari au taarifa kwa umakini na utulivu.

Nimepita baadhi ya maeneo na kwenye kurasa mbalimbali za Mitandao za baadhi ya watu,nimeshangaa wakitumia maneno kuwa aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali ametumbuliwa,jambo ambalo siyo kweli .

Ukweli na usahihi ni kuwa taarifa ya ikulu inasema kuwa AMEPANGIWA MAJUKUMU MENGINE,ambapo majukumu hayo bila shaka yatatangazwa muda wowote ule kwa umma, ili umma ujuwe mtumishi wao ni nani katika nafasi fulani.

Na unaweza kuta majukumu hayo mengine mapya yanaweza kuwa makubwa sana kuliko majukumu aliyokuwa nayo Awali. Kwa hiyo tuendelee kuwa na subira na utulivu kusubiri majukumu hayo mapya.

Kuelewa hiki nilichokizungumza basi angalia katika orodha hii ya majina hapo chini uende mpaka namba (IV )uone lugha iliyotumiwa katika taarifa ya Ikulu .View attachment 3018479View attachment 3018479

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lukuvi alipangiwa kazi gani?
 
Ndugu zangu watanzania,

Nimeona ni kama kiswahili kimekuwa kigumu kidogo kwetu watanzania japo ndio lugha yetu ya Taifa au huwa tunasoma taarifa kwa juu juu tu,kama kawaida yetu ya baadhi yetu watanzania ya uvivu wa kusoma habari au taarifa kwa umakini na utulivu.

Nimepita baadhi ya maeneo na kwenye kurasa mbalimbali za Mitandao za baadhi ya watu,nimeshangaa wakitumia maneno kuwa aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali ametumbuliwa,jambo ambalo siyo kweli .

Ukweli na usahihi ni kuwa taarifa ya ikulu inasema kuwa AMEPANGIWA MAJUKUMU MENGINE,ambapo majukumu hayo bila shaka yatatangazwa muda wowote ule kwa umma, ili umma ujuwe mtumishi wao ni nani katika nafasi fulani.

Na unaweza kuta majukumu hayo mengine mapya yanaweza kuwa makubwa sana kuliko majukumu aliyokuwa nayo Awali. Kwa hiyo tuendelee kuwa na subira na utulivu kusubiri majukumu hayo mapya.

Kuelewa hiki nilichokizungumza basi angalia katika orodha hii ya majina hapo chini uende mpaka namba (IV )uone lugha iliyotumiwa katika taarifa ya Ikulu .View attachment 3018479View attachment 3018479

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chai
 
Lukuvi alipangiwa kazi gani?
Kwani huwa humuoni kwenye matukio mbalimbali muhimu akiwa na Mheshimiwa Rais? Hukumuona hata juzi tu hapa alipokuja mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO? Hukumuona siku ile Mheshimiwa Rais amekutana na kuonana na Kardinali kule Tabora? Unafikiri anafanya nini?

Wewe endelea kupambana na CHADEMA yako inayoendelea kupukutika na kusambaratika. Ungekuwa na akili na unayekipenda chama chako na umoja wa chama usingeweza kuleta taarifa katika namna ambayo ulileta baada ya Mboya kushindwa uchaguzi.
 
Kwani huwa humuoni kwenye matukio mbalimbali muhimu akiwa na Mheshimiwa Rais? Hukumuona hata juzi tu hapa alipokuja mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO? Hukumuona siku ile Mheshimiwa Rais amekutana na kuonana na Kardinali kule Tabora? Unafikiri anafanya nini?

Wewe endelea kupambana na CHADEMA yako inayoendelea kupukutika na kusambaratika. Ungekuwa na akili na unayekipenda chama chako na umoja wa chama usingeweza kuleta taarifa katika namna ambayo ulileta baada ya Mboya kushindwa uchaguzi.
Kutegemea kupiga fix JF bila shaka utakua ama huijui JF au huna Ubongo
 
Ndugu zangu watanzania,

Nimeona ni kama kiswahili kimekuwa kigumu kidogo kwetu watanzania japo ndio lugha yetu ya Taifa au huwa tunasoma taarifa kwa juu juu tu,kama kawaida yetu ya baadhi yetu watanzania ya uvivu wa kusoma habari au taarifa kwa umakini na utulivu.

Nimepita baadhi ya maeneo na kwenye kurasa mbalimbali za Mitandao za baadhi ya watu,nimeshangaa wakitumia maneno kuwa aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali ametumbuliwa,jambo ambalo siyo kweli .

Ukweli na usahihi ni kuwa taarifa ya ikulu inasema kuwa AMEPANGIWA MAJUKUMU MENGINE,ambapo majukumu hayo bila shaka yatatangazwa muda wowote ule kwa umma, ili umma ujuwe mtumishi wao ni nani katika nafasi fulani.

Na unaweza kuta majukumu hayo mengine mapya yanaweza kuwa makubwa sana kuliko majukumu aliyokuwa nayo Awali. Kwa hiyo tuendelee kuwa na subira na utulivu kusubiri majukumu hayo mapya.

Kuelewa hiki nilichokizungumza basi angalia katika orodha hii ya majina hapo chini uende mpaka namba (IV )uone lugha iliyotumiwa katika taarifa ya Ikulu .View attachment 3018479View attachment 3018479

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo inajulikana bila hata maelezo haya mengi. Anaweza kuwa pia katumbuliwa
 
Back
Top Bottom