Usahihi ni upi katika vyeo vifuatavyo vya kisiasa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Cabinet- Kwa nini ni Baraza la Mawaziri na sio Baraza la taifa la uongozi wa nchi?

Ministry of Finance- Kwa nini inaitwa Wizara ya Fedha badala ya Wizara ya hazina kuu ya kitaifa?

Secretary of State(US)- Kwa nini media huwa zinamuita Waziri wa mambo ya nje badala ya Katibu wa taifa wa mambo ya nje?
 
Mkuu unapimanisha mfumo wetu wa uongozi na taifa gani ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…