Usahihi wa kipimo cha kupimia mimba nyumbani

Enny

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
962
Reaction score
130
Habari za leo wana jf.

Naomba kujua usahihi wa kipimo cha home hcg test.
 
Usahihi wake ni kwamba hakidanganyi na hakijawahi kudanganya mwenye pingamizi alilete hapa
 
Usahihi wake ni kwamba hakidanganyi na hakijawahi kudanganya mwenye pingamizi alilete hapa

Ni kweli mkuu nivea, kipimo cha HCG kipimo kinaweza kuonyesha NEGATIVE iwapo mpimaji atapima mapema sana sababu ikiwa wakati huo hicho kichoche cha Human Chorionic Gonadotrophin kinakuwa hakijaanza kutolewa kwa wingi ili kuewza kubainika kwenye mkojo.... hapo ndipo inashindwa kusoma na kuonekana NEGATIVE ila unashauri kusubiri wiki moja hadi mbili na kupima tena ila kama una hitaji kujua haraka basi unashauriwa kwenda hospitali amabpo watapima kipimo hicho cha HCG kwenye damu kwani huko huanza kuonekana mapema zaidi ya kwenye mkojo
 
Last edited by a moderator:

hapo uliposema wiki moja au mbili..

to be more specific is exactly 14 days.
Haita onyesha before 14 days .

Nimependa sana comment yako lakini .
 
Last edited by a moderator:
hapo uliposema wiki moja au mbili..

to be more specific is exactly 14 days.
Haita onyesha before 14 days .

Nimependa sana comment yako lakini .
afrodenzi hapo wiki moja nilimaanisha kuna wengine wanatest mapema after 7 days so akiongeza another week itakuwa 14 days na wiki 2 ni siku 14 thata is the good time to test, vipi mzima wewe shosti?
 
Last edited by a moderator:
afrodenzi hapo wiki moja nilimaanisha kuna wengine wanatest mapema after 7 days so akiongeza another week itakuwa 14 days na wiki 2 ni siku 14 thata is the good time to test, vipi mzima wewe shosti?

Oohhh okay .
Nimekupata sasa .

Mi mzima kabisa .asante kwa kuuliza.
Vipi we waendeleaje ?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…