Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Somo la geography lilikupita pembeni... kwenye ile seheme ya justification why the earth is spherical... i. Satellite pictures ii. Days and night (dunia ingekuwa flat basi kusingekuwa na uwezekano upande mmoja ukawa giza na mwingine ukawa na mwanga na vile vile kungekuwa na edge... iii. Muonekano wa meli bahari, meli inaanza kuonekana sehemu ya juu kidogo kidogo kabla ya kuonekana yote. N.kMKUU KENZY nikushukuu sana kwa kutumia logical rahisi ya mimi kuelewa,kwani suala hili lilikuwa changamoto sana kwangu kuweza kujua uhalisia hasa wa hili jambo
mkuu muelimishe kwa upeo wake !Somo la geography lilikupita pembeni... kwenye ile seheme ya justification why the earth is spherical... i. Satellite pictures ii. Days and night (dunia ingekuwa flat basi kusingekuwa na uwezekano upande mmoja ukawa giza na mwingine ukawa na mwanga na vile vile kungekuwa na edge... iii. Muonekano wa meli bahari, meli inaanza kuonekana sehemu ya juu kidogo kidogo kabla ya kuonekana yote. N.k
Inverse square law.... inasababishwa na kubalance kwa nguvu ya mvutano (resultant gravitation) ambayo inavuta katika directions zote equally na hivyo kusababisha spherical shape.wakuu naomba mrejee swali lake jingine, kwa nini sayari zote zipo duara ?
shukran mkuuInverse square law.... inasababishwa na kubalance kwa nguvu ya mvutano (resultant gravitation) ambayo inavuta katika directions zote equally na hivyo kusababisha spherical shape.
MKUU UNGEFAFANUA KWA KINA KIDOGO MAANA UMENIACHA SOLEMBA HAPO,NAKUOMBA TAFADHALIInverse square law.... inasababishwa na kubalance kwa nguvu ya mvutano (resultant gravitation) ambayo inavuta katika directions zote equally na hivyo kusababisha spherical shape.
Si inakumbuka newton law of gravitation... hii inafall kwenye hiyo inverse square law... law hii inastate kwamba intensity ya an effect hubadilika kutokana in inversely proportional to the square of the distance kutoka kwenye chanzo. Kwa maana hiyo an object of bigger mass... ina uwezo wa kupull other mass but small object kama vile asteroid zenyewe zina tiny gravitational ambayo haiwezi kuleta hiyo effect... wanasayansi wanaamini an object yenye size ya 1000km and above ina uwezo wa kupull other mass in it na hivyo kucreate most efficient shape ambayo ni sphere.MKUU UNGEFAFANUA KWA KINA KIDOGO MAANA UMENIACHA SOLEMBA HAPO,NAKUOMBA TAFADHALI
mkuu kiukweli bado sijapata darasa hapa,yani kifupi mimi sio kama nimesoma saa kivile ,so sijawahi hata sikia hiyo newton law sijui ,then landa nikuombe tu na kwa faida ya wengi humu kama mimi ungetumia zaidi lugah ya nyerere kuliko kuchanganya na hiyo lugha ya trump,bado nakuomba sana mkuu usiniachie hapa natamani sana kujua toka kwakoSi inakumbuka newton law of gravitation... hii inafall kwenye hiyo inverse square law... law hii inastate kwamba intensity ya an effect hubadilika kutokana in inversely proportional to the square of the distance kutoka kwenye chanzo. Kwa maana hiyo an object of bigger mass... ina uwezo wa kupull other mass but small object kama vile asteroid zenyewe zina tiny gravitational ambayo haiwezi kuleta hiyo effect... wanasayansi wanaamini an object yenye size ya 1000km and above ina uwezo wa kupull other mass in it na hivyo kucreate most efficient shape ambayo ni sphere.