Mpingapumba
Member
- Nov 28, 2012
- 33
- 4
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano ninaejishughulisha na mchepuo wa HGL. Kwa kawaida geography huwa ninascore 60-90, english 60-85 wakati historia huwa ninascore 67 kushuka chini mpaka leo nimescore 30%.
Kkila mwalimu anaekuja anakuja na msimamo yake katika usahihishaji(no uniformity) ambapo kila mmoja anadai mfumo anaotumia ndio wa NECTA hivyo ombi langu kwa wanajamvi ni kwamba;
Kwa yeyote anaetaka kunisaidia anifahamishe kuhusu mgawanyo wa maksi katika kila point, introduction, na conclusion kulingana na taratibu za kitaifa.
Kwa kuongezea graphology ya kila paragraph niiweke vipi...? Je, nikitoka point nifuate mfano kisha maelezo au maelezo kwanza?
Je ni kipi kinamaksi?
Kkila mwalimu anaekuja anakuja na msimamo yake katika usahihishaji(no uniformity) ambapo kila mmoja anadai mfumo anaotumia ndio wa NECTA hivyo ombi langu kwa wanajamvi ni kwamba;
Kwa yeyote anaetaka kunisaidia anifahamishe kuhusu mgawanyo wa maksi katika kila point, introduction, na conclusion kulingana na taratibu za kitaifa.
Kwa kuongezea graphology ya kila paragraph niiweke vipi...? Je, nikitoka point nifuate mfano kisha maelezo au maelezo kwanza?
Je ni kipi kinamaksi?