Safi Sana Mkuu
Umekuja Ninapopataka.
Nini Kifanyike Ni Hiki
Tunatakiwa tukae chini na kuupitia upya mfumo Wetu wa Elimu, Kama tumelitambua kuwa lugha ya kiingereza ndo lugha KUBWA ya mawasiliano na INA soko KUBWA kwenye upande wa ajira na Mambo mengine basi tunatakiwa kukitumia kiingereza kuanzia shule za awali mpaka chuo kikuu na kukipa nafasi KUBWA lugha ya kiingereza kwenye majukwaa mbalimbali hii itawajengea wengi huwezi wa kujiamini na Kuweza kujieleza vizuri sanaa linapokuja swala la kujieleza.
Lakini kama tutaamua kukiendeleza na kukidumisha Kiswahili chetu kiwe cha kimataifa basi na chenyewe hivyo hivyo
Kuanzia awali mpaka chuo ni Kiswahili Tu
Mwanzo mwisho mbona nchi kama China, Russia, Korea wameweza kutangaza lugha zao, why Sisi tushindwe.
Lengo ni lile lile tukipitia mfumo Wetu wa Elimu kuanzia awali mpaka chuo kikuu itawasaidia Vijana wengi kukabiliana na soko la sasa la ajira na kupata matokeo chanya.