Usahili wa Tutorial Assistants katika sekta ya Elimu

Usahili wa Tutorial Assistants katika sekta ya Elimu

Ahmed Saidi

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
1,588
Reaction score
3,487
Habari za muda huu wapendwa, poleni na majukumu mbalimbali katika kulijenga taifa letu.

Lengo la uzi huu ni kujuzana ni maswali ya namna gani yanaulizwa katika interviews za tutorial assistant kwa sekta ya Elimu.

Kama ulishawahi kufanya interview utumishi na ukafaulu au vinginevyo basi tupeane ujuzi jinsi ya kujibu maswali ya written na oral interview.

Si mbaya hata kama tutapeana updates za nafasi za kazi zinapotoka na mengineyo.
Watu wangu wa BED ECE, BED PSY, ADULT EDUCATION, BED ICT, POLICY STUDIES, BED ADMAN n.k njooni tupeane ujuzi huku. 
 
Habari za muda huu wapendwa, poleni na majukumu mbalimbali katika kulijenga taifa letu.

Lengo la uzi huu ni kujuzana ni maswali ya namna gani yanaulizwa katika interviews za tutorial assistant kwa sekta ya Elimu.

Kama ulishawahi kufanya interview utumishi na ukafaulu au vinginevyo basi tupeane ujuzi jinsi ya kujibu maswali ya written na oral interview.

Si mbaya hata kama tutapeana updates za nafasi za kazi zinapotoka na mengineyo.
Watu wangu wa BED ECE, BED PSY, ADULT EDUCATION, BED ICT, POLICY STUDIES, BED ADMAN n.k njooni tupeane ujuzi huku. 
Mara nyingi maswali utakayoulizwa ni kutokana na presentation utakayoifanya. Ni kawaida ukiingia kwenye interview room kupewa dakika kadhaa u-present topic yoyote inayohusiana na fani unayoiomba ili wakuone uwezo wako katika kuwasilisha mada mbele ya hadhira. Hivyo kuwa makini sana katika kuchagua topic husika, hakikisha upo vizuri sana kwenye topic hiyo. Maswali mengine huwa ni general kuhusu taasisi husika unayoomba kazi, vitu kama vision,mission nakadhalika.
 
Mara nyingi maswali utakayoulizwa ni kutokana na presentation utakayoifanya. Ni kawaida ukiingia kwenye interview room kupewa dakika kadhaa u-present topic yoyote inayohusiana na fani unayoiomba ili wakuone uwezo wako katika kuwasilisha mada mbele ya hadhira. Hivyo kuwa makini sana katika kuchagua topic husika, hakikisha upo vizuri sana kwenye topic hiyo. Maswali mengine huwa ni general kuhusu taasisi husika unayoomba kazi, vitu kama vision,mission nakadhalika.
Asante kwa maelezo mazuri
 
Mara nyingi maswali utakayoulizwa ni kutokana na presentation utakayoifanya. Ni kawaida ukiingia kwenye interview room kupewa dakika kadhaa u-present topic yoyote inayohusiana na fani unayoiomba ili wakuone uwezo wako katika kuwasilisha mada mbele ya hadhira. Hivyo kuwa makini sana katika kuchagua topic husika, hakikisha upo vizuri sana kwenye topic hiyo. Maswali mengine huwa ni general kuhusu taasisi husika unayoomba kazi, vitu kama vision,mission nakadhalika.
Na vipi kwa tutorial assistant kwenye somo la kiswahili usaili wao wanatumia lugha gani ni kiswahili au kiingereza ?
 
Mara nyingi maswali utakayoulizwa ni kutokana na presentation utakayoifanya. Ni kawaida ukiingia kwenye interview room kupewa dakika kadhaa u-present topic yoyote inayohusiana na fani unayoiomba ili wakuone uwezo wako katika kuwasilisha mada mbele ya hadhira. Hivyo kuwa makini sana katika kuchagua topic husika, hakikisha upo vizuri sana kwenye topic hiyo. Maswali mengine huwa ni general kuhusu taasisi husika unayoomba kazi, vitu kama vision,mission nakadhalika.
Thank u bro,naomba kujua anaefahamu niliomba nafasi ya tutor ADEM dirisha lilifungwa 16 June,je makadirio wanaita kwenye interview baada ya muda gani?
 
Back
Top Bottom