Usahili wa Tutorial Assistants katika sekta ya Elimu

Usahili wa Tutorial Assistants katika sekta ya Elimu

Mkuu nisaidie dondoo za interview za TA education psychology huwa wanatoaje
Sawa

Nadhani utaratibu ni ule ule kama post nyengine.

Kwakua hii ni teaching post basi utafanya mtihani wa kwanza wa kuandika na interview ya pili itakuwa ni oral.

Kwenye interview ya kwanza ya kuandika (mchujo), baadhi ya taasisi hutoa mtihani unaofanana na format ya UE Kabisa, hivyo unaweza ukaufanya Kwa saa 2, 2½ au saa 3.

Kuna baadhi ya taasisi utafanya ule mtihani wa kiutumishi ambapo utapewa maswali manne, then utayajibu ndani ya saa Moja. Hapa inabidi uwe na speed ya kutosha.

Ama katika oral, kwanza utandaa presentation ndani ya saa moja, then utapresent ulichokiandaa Kwa dakika 5 au 10 na Kisha kuulizwa maswali kadhaa kutokana na ulichokipresent au kuhusu field Yako unayofanyia interview.

Katika psychology, komaa sana na educational psychology, Yale mambo ya learning theories, wapitie sana wakina Skinner, Pavlov, Brunner, Piaget n.k soma pia special and inclusive education. Kiufupi ujue field Kwa ujumla utafanikiwa.
 
Sawa

Nadhani utaratibu ni ule ule kama post nyengine.

Kwakua hii ni teaching post basi utafanya mtihani wa kwanza wa kuandika na interview ya pili itakuwa ni oral.

Kwenye interview ya kwanza ya kuandika (mchujo), baadhi ya taasisi hutoa mtihani unaofanana na format ya UE Kabisa, hivyo unaweza ukaufanya Kwa saa 2, 2½ au saa 3.

Kuna baadhi ya taasisi utafanya ule mtihani wa kiutumishi ambapo utapewa maswali manne, then utayajibu ndani ya saa Moja. Hapa inabidi uwe na speed ya kutosha.

Ama katika oral, kwanza utandaa presentation ndani ya saa moja, then utapresent ulichokiandaa Kwa dakika 5 au 10 na Kisha kuulizwa maswali kadhaa kutokana na ulichokipresent au kuhusu field Yako unayofanyia interview.

Katika psychology, komaa sana na educational psychology, Yale mambo ya learning theories, wapitie sana wakina Skinner, Pavlov, Brunner, Piaget n.k soma pia special and inclusive education. Kiufupi ujue field Kwa ujumla utafanikiwa.
Ahsante mkuu na vipi kwenye presentation wanatumia pointer
 
Ahsante mkuu na vipi kwenye presentation wanatumia pointer
Unaweza kuandaa presentation Kwa kuandaa slides kwenye computer na kupresent Kwa PowerPoint au unaweza andaa presentation Yako kwenye karatasi tu. Hii ya kwenye karatasi mara nyingi hufanyika kama computer facilities ni chache
 
Unaweza kuandaa presentation Kwa kuandaa slides kwenye computer na kupresent Kwa PowerPoint au unaweza andaa presentation Yako kwenye karatasi tu. Hii ya kwenye karatasi mara nyingi hufanyika kama computer facilities ni chache
Mkuu Mungu akubariki sana umenipa muangaza acha namimi nimuombe aliye juu
 
Sawa

Nadhani utaratibu ni ule ule kama post nyengine.

Kwakua hii ni teaching post basi utafanya mtihani wa kwanza wa kuandika na interview ya pili itakuwa ni oral.

Kwenye interview ya kwanza ya kuandika (mchujo), baadhi ya taasisi hutoa mtihani unaofanana na format ya UE Kabisa, hivyo unaweza ukaufanya Kwa saa 2, 2½ au saa 3.

Kuna baadhi ya taasisi utafanya ule mtihani wa kiutumishi ambapo utapewa maswali manne, then utayajibu ndani ya saa Moja. Hapa inabidi uwe na speed ya kutosha.

Ama katika oral, kwanza utandaa presentation ndani ya saa moja, then utapresent ulichokiandaa Kwa dakika 5 au 10 na Kisha kuulizwa maswali kadhaa kutokana na ulichokipresent au kuhusu field Yako unayofanyia interview.

Katika psychology, komaa sana na educational psychology, Yale mambo ya learning theories, wapitie sana wakina Skinner, Pavlov, Brunner, Piaget n.k soma pia special and inclusive education. Kiufupi ujue field Kwa ujumla utafanikiwa.
Habari za midaa hii nimepata kitu hapa cha kujifunza na vipi Kwenye upande wa Science Teaching interview hizi za Secondary zikoje
 
Habari za midaa hii nimepata kitu hapa cha kujifunza na vipi Kwenye upande wa Science Teaching interview hizi za Secondary zikoje
 
Back
Top Bottom