DOKEZO USAID ijiandae kisaikolojia chini ya Rais Trump

DOKEZO USAID ijiandae kisaikolojia chini ya Rais Trump

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna watu walinifuata PM wakaniita mchochezi eti naharibu mambo ya watu 😃

Mkuu uliangalia mbali sana! Nimefanya na USAID, wenyewe huku US imewaumiza sana! Ilijisahau mno, ikawa ianafanya miradi kama itavyo yenyewe, na kusahau ni pesa ya kodi za Wamarekani! Miradi mingi haikuwa na hata baraka za serikali! Na wengu huku US ndio walikuwa wafaidika wakubwa!
 
Tayari muda mkuu. Tumeambiwa tusimamishe shughuli kwa miezi 3 mkuu.
Itaendelea baada ya hapo! Inategemea uko wapi! Marekani kwenyewe Trump anataka kuikarabati upya, na kuihamishia State Department! Rubio alikua haitaki kabisa toka siku nyingi, alikuwa anawaona wako arrogant! Ni kama walijisahau kuwa wako chini ya serikali! Anyway wapiganapo tembo, nyasi huumia!
 
Wale waajiriwa private wa USAOD hapa Tz huwa wanayata sana, hasa wahasibu huaa unasikia sera zetu haziruhusu kukulipia mafuta ya gari private, sera zetu haziruhusu kukulipa kiwango hicho..wataishije na zile nyodo za USAID
Zile sio nyodo mkuu, ndio Policy waliyopewa! Ulimwenguni mzima wanafanya hivyo!
 
USAID na ushoga sijuhi walikuwa wanatupeleka wapi.....soon nitakuja na ushuhuda WA kilichokuwa kinaendelea na shirika la iCAP huku kanda ya ziwa na mashoga, ndio maana Rais wetu kipenzi kapewa tuzo yenye marangirangi ya upande so sad!

Screenshot_2025-02-06-07-26-01-247_com.twitter.android.jpg
 
Wee jamaa unaona mbali sana, unafaa kuwa mshauri wa viongozi wakubwa wa nchi. good predictions
Mkuu hawa viongozi wetu wanaolia kwanini pesa za wahisani hazifiki unadhani watazama watu? Wapo busy na matumbo yao
 
Hatariz.... Kwa hiyo.... Dahhhh... Kuna funzo kubwa sana hapa...
 
Back
Top Bottom