cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Kuna watu walinifuata PM wakaniita mchochezi eti naharibu mambo ya watu π
Hamna kitu hapo.
Ni AI hiyo mkuu.
soma vizuri hiyo lugha iliyotumika humo utagundua ni fulu chatgpt hiyo.
hahahaha π€£π€£π€£π€£
Trump anachekea chooni baada ya watu hasa Afrika kupigwa na kitu kizito
Kuna kitu kiko invisible Mkuu? Trump ameondoa pesa UNRWA, UNHCR, WHO Ameona havina msaada kwa Marekani, kachangia vya kutosha, anataka kuangalia ndani ya Marekani!Watu walidhani USAID wapo invisible π
Itaendelea baada ya hapo! Inategemea uko wapi! Marekani kwenyewe Trump anataka kuikarabati upya, na kuihamishia State Department! Rubio alikua haitaki kabisa toka siku nyingi, alikuwa anawaona wako arrogant! Ni kama walijisahau kuwa wako chini ya serikali! Anyway wapiganapo tembo, nyasi huumia!Tayari muda mkuu. Tumeambiwa tusimamishe shughuli kwa miezi 3 mkuu.
anatikisa kibriti tuuu
Zile sio nyodo mkuu, ndio Policy waliyopewa! Ulimwenguni mzima wanafanya hivyo!Wale waajiriwa private wa USAOD hapa Tz huwa wanayata sana, hasa wahasibu huaa unasikia sera zetu haziruhusu kukulipia mafuta ya gari private, sera zetu haziruhusu kukulipa kiwango hicho..wataishije na zile nyodo za USAID
Watu wa USAID wameanza kujirudi π Mambo yameharibika haswa
Du n huzuni [emoji81]USAID na ushoga sijuhi walikuwa wanatupeleka wapi.....soon nitakuja na ushuhuda WA kilichokuwa kinaendelea na shirika la iCAP huku kanda ya ziwa na mashoga, ndio maana Rais wetu kipenzi kapewa tuzo yenye marangirangi ya upande so sad!
View attachment 3226506