USAID wafadhili afya ya mama na mtoto Njombe

USAID wafadhili afya ya mama na mtoto Njombe

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
22 September 2020
Njombe, Tanzania



Shirika la Misaada la Kimataifa la Marekani USAID ambao ni wadau wa maendeleo wa serikali ya Tanzania wameandaa semina juu ya Afya ya Mama na Mtoto mkoani Njombe uliopo nyanda za juu kusini nchini Tanzania.

Mradi huo umejikita kuondoa udumavu wilaya ya Wangingombe mkoani Njombe ambapo kuna idadi kubwa ya watoto wenye udumavu.
 
Utakuta ufadhili wenyewe ni shilingi Milioni Mia moja. Ambazo jiwe huwa anatembea akigawa njiani
 
Siyo wadau mkuu sema mabeberu tena USA ndipo beberu lenye ndevu kabisa a.k.a ndafu au kubwa la mabeberu
 
Back
Top Bottom