SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 517
- 1,243
Hello pal. Upon nchi gani, 254 ama 255?Mwenye uhitaji wa line za Safaricom kwa ajili ya kujiunga na Paypal tuwasiliane
Njoo DMMabibi na mabwana, wakubwa kwa wadogo nawasalimu hamjambo?
Ninao ujumbe huu kwa yeyote aliye Tanzania na anakwazika na kupakua hela zake kutoka mtandao wa malipo, PayPal.
Nipo tayari kutumia muda na rasmali zangu chache kukupakulia kwa muunganisho na mpesa kisha nikakutumia wewe.
Yote haya kwa percentage flani ya kiwango kinachopakuliwa.
Uaminifu ndio ngao yangu.
Mwambie Mwenzio. View attachment 1913441
Nahitaji line hiyoMwenye uhitaji wa line za Safaricom kwa ajili ya kujiunga na Paypal tuwasiliane
Oya nataka line hiyoMwenye uhitaji wa line za Safaricom kwa ajili ya kujiunga na Paypal tuwasiliane
HapaNjoo DM
NilishaipataOya nataka line hiyo