SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 517
- 1,243
Mabibi na mabwana, wakubwa kwa wadogo nawasalimu hamjambo?
Ninao ujumbe huu kwa yeyote aliye Tanzania na anakwazika na kupakua hela zake kutoka mtandao wa malipo, PayPal.
Nipo tayari kutumia muda na rasmali zangu chache kukupakulia kwa muunganisho na mpesa kisha nikakutumia wewe.
Yote haya kwa percentage flani ya kiwango kinachopakuliwa.
Uaminifu ndio ngao yangu.
Mwambie Mwenzio.
Ninao ujumbe huu kwa yeyote aliye Tanzania na anakwazika na kupakua hela zake kutoka mtandao wa malipo, PayPal.
Nipo tayari kutumia muda na rasmali zangu chache kukupakulia kwa muunganisho na mpesa kisha nikakutumia wewe.
Yote haya kwa percentage flani ya kiwango kinachopakuliwa.
Uaminifu ndio ngao yangu.
Mwambie Mwenzio.