Usaidizi

Umebakiwa na akili ndogo sana ya ziada na ndo hiyo unayoitumia kupost huo uchafu. aibu yako

The worst part is that sad way of thinking is probably so far in your head, You have no chance of letting it go.
 
Hawa ndio wachonganishi wanaochezea karama zao walizopewa na mungu kuleta misuguano ndani ya jamii...jambo ambalo hata mbele za mungu ni kosa...katembo usanii ni zaidi ya unavyofikiri nenda kasome ethics za drawing...
such people`s existence prove there is still hope for humanity...
 

Kijana nitakusaidia kukuweke kijarida cha katiba inayopendekezwa kilichoandkwa kwa lugha nyepesi kitakachokusaidia kufanya rejea....hiki kidude kipo vizuri sana nimekisoma kimenisaidia kuelewa whats in kwenye katiba inayopendekezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…