Usaidizi

Usaidizi

unalo hilo we ikuume tuu, utawaza sana mpaka upasuke kichwa, jinyonge sasa kama inakuuma.

huko ndo kuishiwa hoja wewe, weka hoja sio makelele, wewe ulijiunga zamani mbona akili zako ni zero? Badala ya kuweka hoja wewe unalaumu, yaweke hayo mambo yaliyotolewa ili wana jf wakujibu kwa hoja sio kulalama eti mambo ya wananchi yametolewa, sasa watu wataota mambo gani? Yaweke watu wayaone na wakupe vifungu, wewe utakuwa umetumwa ndo mana unapinga kitu bila hoja. Pole sana hahahahaha!!

upuuzi wa mganga njaa...haya endelea kuchumia tumbo....na rasimu yenu mnayoiharakisha....funika kombe mwanaramu apite....ndio michezo yenu chama chakavu
 
upuuzi wa mganga njaa...haya endelea kuchumia tumbo....na rasimu yenu mnayoiharakisha....funika kombe mwanaramu apite....ndio michezo yenu chama chakavu

Ongea upasuke lakini ujumbe umekufikia, kibarua unacho cha matuc hapa ni dozi tu utaelewa tuu.
 
HUKO NDO KUISHIWA HOJA WEWE, WEKA HOJA SIO MAKELELE, WEWE ULIJIUNGA ZAMANI MBONA AKILI ZAKO NI ZERO? BADALA YA KUWEKA HOJA WEWE UNALAUMU, YAWEKE HAYO MAMBO YALIYOTOLEWA ILI WANA JF WAKUJIBU KWA HOJA SIO KULALAMA ETI MAMBO YA WANANCHI YAMETOLEWA, SASA WATU WATAOTA MAMBO GANI? YAWEKE WATU WAYAONE NA WAKUPE VIFUNGU, WEWE UTAKUWA UMETUMWA NDO MANA UNAPINGA KITU BILA HOJA. POLE SANA hahahahaha!!

KWA WATU WALIOJITOA UFAHAMU KAMA WEWE,MNAOONGOZWA NA NJAA BADALA BUSARA KAMWE HAMTASIKIA LA MWADHINI WALA MTEKA MAJI MSIKITINi.
 
Ongea upasuke lakini ujumbe umekufikia, kibarua unacho cha matuc hapa ni dozi tu utaelewa tuu.

ni kweli nina kibarua cha matusi kutoka kwa hao wanaojiita watetezi wa RASIMU YA JOKA LA MAKENGEZA..ninachojifunza waliowarecruit kuja kuitetea walizangatia zaidi ubora wa kutukana kuliko kingine chochote..
 
ni kweli nina kibarua cha matusi kutoka kwa hao wanaojiita watetezi wa RASIMU YA JOKA LA MAKENGEZA..ninachojifunza waliowarecruit kuja kuitetea walizangatia zaidi ubora wa kutukana kuliko kingine chochote..

Wewe ndo muwekaji matuc ndo maana nimekwambia kibarua cha matuc tu unacho endelea coz nqachojua kuwa matuc ni maneno ambayo wala hayamuathiri mtu kwa vyovyote vile, tena ndo unathibitisha jinsi kwenu nyote mlivyo, coz kama ungekuwa na maadili mazuri usingekuwa unaweka huo ujinga wako humu ndani.
 
Ongea upasuke lakini ujumbe umekufikia, kibarua unacho cha matuc hapa ni dozi tu utaelewa tuu.

hahhahahahahahah...njaa mbaya sana...dogo una siku mbili...unatema ugoro wa ajabu.....tumia tu id yako ya zamani...
 
Wewe ndo muwekaji matuc ndo maana nimekwambia kibarua cha matuc tu unacho endelea coz nqachojua kuwa matuc ni maneno ambayo wala hayamuathiri mtu kwa vyovyote vile, tena ndo unathibitisha jinsi kwenu nyote mlivyo, coz kama ungekuwa na maadili mazuri usingekuwa unaweka huo ujinga wako humu ndani.

kwanini sasa umebadilisha id?....ntakufuata tu nikuumbue hata ukiwa nazo kumi.....njaa kali wewe..
 
hahhahahahahahah...njaa mbaya sana...dogo una siku mbili...unatema ugoro wa ajabu.....tumia tu id yako ya zamani...

Umeishiwa hoja wewe pumzika ulale, acha kupoteza muda wako kama vipi kachunge mbuzi wa babu yako kule mkoa, wewe ndo una njaa ndo maana umetumwa kuja kusema huo uchafu wako humu ndani, tena wewe ndo mwenye ID mbili moja ya Tetty pamoja na hiyo ya Tyta watu mbona wanakujua tu kwamba umetumwa??? lakini hayo hayatuhusu hata uwe na ID 1000, wana jf wanataka uweke hoja zenye kuleta uzalendo kwa nchi yako.
 
hapa nachoona ni maigizo ya kujifanya huifahamu,umeisoma mpaka kuilewa...
Hodi Humu Ndani

Started by Laizer Peter, 30th March 2015 07:55

WEWE SI MGENI HUKUWA ACTIVE TU...Join Date : 19th February 2013
ULICHOFANYA NI KUJA NA ID YAKO YA ZAMANI NA KULETA MAIGIZO.
Katiba kitu gani

Started by Laizer Peter, 30th March 2015 08:18

Katiba

Started by Laizer Peter, 30th March 2015 09:12

Imani Na Uhuru Wa Dini

Started by Laizer Peter, 31st March 2015 11:51
News Alert: Uchambuzi

Started by Laizer Peter, Yesterday 15:01



Tyta huwezi kutumia nguvu kulazimisha mambo kama umezidiwabkaa kimya, utakalia kufuatilia joining date mpaka utazimia JF ni mtambo mkubwa everyday watu wanajoin baada ya kuona wazoefu wanajaribu kupotosha umma, hilo kwako halikujengi linakupotezea heshima yako kwa kukalia kuangalia vitu visivyokua na mantiki.
 
nawe Laizer Peter usituletee maigizo tena,hiyzo ni propaganda za kitoto kabisa kufanyia watu,tofauti yako na wenzako ni kuwa wewe uliamua kutumia dormant id yako ya zamani,wenzako wakaja na mpya.....next time come with a better script...
 
kwanini sasa umebadilisha id?....ntakufuata tu nikuumbue hata ukiwa nazo kumi.....njaa kali wewe..

Wewe nifuate tu uspate shida, ID yangu ni moja cna haja na nyingine, ila wewe untumia ID mbili nina uhakika wa asilimia 100 moja ya TETTY na nyingine ya TYTA ambayo ndo hii unatumia, ya Tyta acha ushamba wako weka hoja ID hazikusaidii kitu humu ndani.
 
Umeishiwa hoja wewe pumzika ulale, acha kupoteza muda wako kama vipi kachunge mbuzi wa babu yako kule mkoa, wewe ndo una njaa ndo maana umetumwa kuja kusema huo uchafu wako humu ndani, tena wewe ndo mwenye ID mbili moja ya Tetty pamoja na hiyo ya Tyta watu mbona wanakujua tu kwamba umetumwa??? lakini hayo hayatuhusu hata uwe na ID 1000, wana jf wanataka uweke hoja zenye kuleta uzalendo kwa nchi yako.

Tyta huwezi kutumia nguvu kulazimisha mambo kama umezidiwabkaa kimya, utakalia kufuatilia joining date mpaka utazimia JF ni mtambo mkubwa everyday watu wanajoin baada ya kuona wazoefu wanajaribu kupotosha umma, hilo kwako halikujengi linakupotezea heshima yako kwa kukalia kuangalia vitu visivyokua na mantiki.
enyi wafuasi wa chama cha maigizo...mkuu wenu alipowaambia za kuambiwa changanya na zako alikuwa na maana pana...cha kushangaza mmemua zoazoa kwa kuendekeza matumbo yenu..mnatetea ujinga bila haya wala soni...hiki ni kiwango kikubwa cha ukihiyo,kutofikiria vizazi vijavyo wala jamii kwa ujumla.....amkeni
 
nawe Laizer Peter usituletee maigizo tena,hiyzo ni propaganda za kitoto kabisa kufanyia watu,tofauti yako na wenzako ni kuwa wewe uliamua kutumia dormant id yako ya zamani,wenzako wakaja na mpya.....next time come with a better script...

We huna hoja humu umetumwa kuja kuchafua hali ya hewa, jitu kubwa lakini huna ktu kichwani.
 
enyi wafuasi wa chama cha maigizo...mkuu wenu alipowaambia za kuambiwa changanya na zako alikuwa na maana pana...cha kushangaza mmemua zoazoa kwa kuendekeza matumbo yenu..mnatetea ujinga bila haya wala soni...hiki ni kiwango kikubwa cha ukihiyo,kutofikiria vizazi vijavyo wala jamii kwa ujumla.....amkeni

ZEROOOO WEWE acha kelele zako pumzika kama umechoka aibu hiyooo.
 
Wewe nifuate tu uspate shida, ID yangu ni moja cna haja na nyingine, ila wewe untumia ID mbili nina uhakika wa asilimia 100 moja ya TETTY na nyingine ya TYTA ambayo ndo hii unatumia, ya Tyta acha ushamba wako weka hoja ID hazikusaidii kitu humu ndani.

wewe kijana usijitoe ufahamu wa kudai una ID moja,una siku mbili heheheheheh....yaani unataka kusema juzi asubuhi hukuwa member wa jf...??roho mbaya huwa haijifichi mchumia tumbo hata uje na ID MIA SABA...
 
Habari Zenu Wana JF.

Kwa Wale Walioisoma Hii KATIBA PENDEKEZWA Na Wakaelewa Kabisa Tunaomba UCHAMBUZI Japo Kidogo Kwanzia Sehemu Ya Kwanza Na Sura Zake Hadi Sehemu ya Mwisho

Please Alielewa Zaidi Atupatie SHORT SUMMARY Maana Hata Darasani Kuna Wanaoelewa Kidogo Na Wengine Zaidi.

MWASI MWAKENDA NA WENGINE (Usaidizi wenu plz)


Nawasilisha
Kweli wewe ni mwanafunzi mzuri. Hiyo summary utapata ili uwasaidie na wengine. Kweli kwa waliowengi kusoma document lote inawawia vigumu. Kura yako ya Ndiyo naona inakuja kwa Katiba inayopendekezwa. Karibu sana ngoja utafutiwe nondo ili jengo lako liwe imara.:juggle:
 
wewe kijana usijitoe ufahamu wa kudai una id moja,una siku mbili heheheheheh....yaani unataka kusema juzi asubuhi hukuwa member wa jf...??roho mbaya huwa haijifichi mchumia tumbo hata uje na id mia saba...

unatumia id mbili wewe mbona ubishii hilo?? Id zako ni hizi tyta na tetty kataaaa?!!!
 
tehteh.....mchumia tumbo and co.kazi kushinda jukwaa la katiba kumwaga u.h.a.ro.....ngoromwika ta best...

Achana na ID mbili hizo baki na moja tukuelewe, chagua kati ya TETTY au TYTA ili tukujue sio kuweka matapishi yako humu ndani.
 
Back
Top Bottom