Hello wandugu jana wengi wa uaili utumishi walianza usail wa maandishi(mtihani) ila kutoa matokeo nimechoka na stail yao kuwa watawapigia simu walioshinda,kwann wasitoe majibu kwenye website yao au ya walengwa ili iwe rahisi kwa kila mtu kuona au kama kawaida ya Tanzania(technical know who),Badilikieni