sasa wewe ndugu kama ujapigiwa simu,we elewa ure unsucessfulll candidate,sasa mbona unalalama kama binti,jiulize kama wewe ndo ungepigiwa simu kwa ajili ya oral interview sijui ungeandika hii threadHello wandugu jana wengi wa uaili utumishi walianza usail wa maandishi(mtihani) ila kutoa matokeo nimechoka na stail yao kuwa watawapigia simu walioshinda,kwann wasitoe majibu kwenye website yao au ya walengwa ili iwe rahisi kwa kila mtu kuona au kama kawaida ya Tanzania(technical know who),Badilikieni
inawezekana ni binti mkuusasa wewe ndugu kama ujapigiwa simu,we elewa ure unsucessfulll candidate,sasa mbona unalalama kama binti,jiulize kama wewe ndo ungepigiwa simu kwa ajili ya oral interview sijui ungeandika hii thread
nyie ndo mpaka makazini mnakuwa walalamishi mnahisi mnaonewa,hebu jirekebishe mkuu , i wish one day u will be a great thinker not great sinker