USAILI BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)

USAILI BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)

Wakuu kwa mwenye uzoefu au ufahamu kuhusu writen interview ya bot kwa kada ya
Bank officer III atusaidie walau tujue kwa kuanzia
Lakini kiukweli mimi hua nawashangaa sana vijana GenZ wa kitanzania.....
Yaani mtu kweli umesomea kitu flani, then unakuja kuomba namna hadi ya kufaulu usahili...🤔
Hivi hamuoni haya...??
Basi omba namna ya kusaidiwa uipate nafasi kwakua ushindani ni mkubwa, ila hakikisha unafaulu usahili.
Mimi kiukweli sijawahi na sinto wahi kumsaidia mtu kwenye position ambayo hata ukimuweka hawezi kuitendea haki.. bladi hell....☹️
 
Lakini kiukweli mimi hua nawashangaa sana vijana GenZ wa kitanzania.....
Yaani mtu kweli umesomea kitu flani, then unakuja kuomba namna hadi ya kufaulu usahili...🤔
Hivi hamuoni haya...??
Basi omba namna ya kusaidiwa uipate nafasi kwakua ushindani ni mkubwa, ila hakikisha unafaulu usahili.
Mimi kiukweli sijawahi na sinto wahi kumsaidia mtu kwenye position ambayo hata ukimuweka hawezi kuitendea haki.. bladi hell....☹️
Upo sahihi lakn kama huna Cha kujibu ni Bora ukabaki kimya mkuu
 
Lakini kiukweli mimi hua nawashangaa sana vijana GenZ wa kitanzania.....
Yaani mtu kweli umesomea kitu flani, then unakuja kuomba namna hadi ya kufaulu usahili...🤔
Hivi hamuoni haya...??
Basi omba namna ya kusaidiwa uipate nafasi kwakua ushindani ni mkubwa, ila hakikisha unafaulu usahili.
Mimi kiukweli sijawahi na sinto wahi kumsaidia mtu kwenye position ambayo hata ukimuweka hawezi kuitendea haki.. bladi hell....

Misiwezi nikakaa kimya kwa vijana wanao fanya na kuendekeza ujinga wa kutaka kusaidiwa kila kitu utadhani wana ulemavu....☹️
Humu jamii forum Kuna threads ngapi watu Huwa wanauliza kuhusu updates za interview
Uzi wangu umekukera nini mkuu mpaka kuniita mtu wa ovyo broh tafadhali kama huna Cha kuchangia kaa kimya
 
Misiwezi nikakaa kimya kwa vijana wanao fanya na kuendekeza ujinga wa kutaka kusaidiwa kila kitu utadhani wana ulemavu....☹️
Huu Uzi umeupitia mkuu au unashida binafsi humu discussion ni nin kama sio kusaidiana interview

 
Humu jamii forum Kuna threads ngapi watu Huwa wanauliza kuhusu updates za interview
Uzi wangu umekukera nini mkuu mpaka kuniita mtu wa ovyo broh tafadhali kama huna Cha kuchangia kaa kimya
Pole Mkuu!
Umeuliza na kutafuta msaada vema kabisa.

Lakini usiumie kwa baadhi ya watu kulijibu vibaya! Dunia hii Ina aina nyingi za wanadamu.

Kikubwa ni kuwajua na kukubali kuishi nao jinsi walivyo ... Mtu mmoja aliwahi kusema "Kama huwezi kumsaidia mtu, hakikisha humuumizi pia"

All the Best katika interview yako!
Mungu akufanikishe katika jambo hili!

Sikujui ila nitakuweka katika maombi na sala zangu!

Usivunjike moyo!
 
Pole Mkuu!
Umeuliza na kutafuta msaada vema kabisa.

Lakini usiumie kwa baadhi ya watu kulijibu vibaya! Dunia hii Ina aina nyingi za wanadamu.

Kikubwa ni kuwajua na kukubali kuishi nao jinsi walivyo ... Mtu mmoja aliwahi kusema "Kama huwezi kumsaidia mtu, hakikisha humuumizi pia"

All the Best katika interview yako!
Mungu akufanikishe katika jambo hili!

Sikujui ila nitakuweka katika maombi na sala zangu!

Usivunjike moyo!
Asante sana ubarikiwe mkuu
 
Back
Top Bottom